Wana jf salaam,
Miaka kadhaa iliyopita wavaaji wa jeans walionekana ni vijana wa kihuni ,lakini miaka ya karibuni vali hili limezijolea wavaaji wapya wenye heshima zao, licha ya kuwa kwa Tanzania...
Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi.
Shida ni nini hasa?
Hello wanajf Leo nilikuwa kijiji msanga kwenye shughuli aisee nikapata kushangaa dukani nakuta pempas wanauza moja moja nikamuuliza muuzaji je zinatoka akasema mnoo watu awawezi kwa wingi...
Napenda kua modo hatua gani nipitia ili niweze kufika kwenye ndoto yangu au kama kunamtu anaweza kunichukua kuweza kuvaa na kupiga picha kupost mitindo yake Niko tayari mvuta ninao mwili wakuvaa nao
First and Foremost, every woman who is alive today has her unique quality of making herself look absolutely stunning. And the fact of the matter is that, it doesn't not matter how much a budget a...
Habari za mchana wanajamvi
Kwa muda sasa nimekuwa nikikerwa na baadhi ya tabia ambazo zinaonyeshwa na jinsia ya KE ambazo sio za kistaarabu kabisa.Moja ya tabia hizo ni
1.Wanawake wengi wanapenda...
Nikianza mimi Huwa natumia mswaki wiki mbili Natupa,Yaani ukichange shape yake(ukianza kuchambuka ).
Wakuu Embu tujali afya ya kinywa.Unakuta mtu mswaki una Miaka miwili mpaka minne,.
Alafu...
Let Be Real.
Mwanamke mwili wake ndio pambo lake, ndio maana wanasema mwanamke uwa, Mwamke aliye Smart anaujari mwili wake kwenye maeneo tofauti tofauti.
Kwa mwanamke aliye Smart hawezi jiachia...
Habari wanajamvi,
Nimekuwa nikitafuta mafuta ya massage kwa muda mrefu sana bila mafanikio, ningependa kujua ni mafuta gani ambayo ni bora zaidi kwa kufanyia massage na nikijua na bei itakuwa...
Kope nazo humpendezesha mwanamke kuna aina ya rangi za kupaka kwenye kope, lakini zinatofautiana. Ni vyema ukawasiliana na wataalamu wa mambo ya urembo kwa ushauri na siyo kukurupuka. Siyo...
Nywele zangu ni ngumu na zinavozid kukua zinakuwa brown in colour.
Kama kuna anaejua mafuta mazuri ya kuzifanya ziwe rahisi hata kuchanika anitajie (lain na kuretain colour)
Kumbe bwana hata waafrica tuna nywele ndefu tu kama wazungu
Hii thread Ni maalum kwa watu wenye nywele natural I mean tunaotaka nywele ndefu bila dawa aka relaxer
Hapa tutashare uzoefu Nini Cha...
Wakuu wasalaam.
Kheri ya mwaka mpya. Mwenyezi Mungu akatujalie afya njema na mafanikio tele 2021.
Ndugu wana JF, natafuta hizi sabuni aina ya ALFA kama inavyoonekana Pichani. Hizi sabuni...
Sijui nina tatizo au la, ila mimi nachukia sana kuona mwanamke kavaa kyupi,
Na vise versa naenjoy kuona KE akivaa boxer, nakua na amani
Nakumbuka mwaka fulani nilikua na date na tom boy yeye...
Katika matukio yaliyotrend week iliyopita moja wapo ni wedding reception ya Mboni Masimba,mwanamama machachari mwenye kipindi chake TBC -Mboni talk show.
Mboni aliolewa na bwana Tajiri mwezi mmoja...
Nawasilisha kwenu wakuu. nimekuwa na safari nyingi na mwili umechoka sasa. Kama sio Magomeni basi iwe karibu.Au kama una contacts zao nimlete hapa kwangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.