Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari Jf, Wataalamu wa ngozi na vipodozi mnipe maelekezo mazuri hapa. 🔷 Jinsia (me) rangi ya ngozi black chocolate, aina ya ngozi ni ya kwaida siyo kavu wala sijawahi kupata chunusi. Mafuta ya...
3 Reactions
44 Replies
20K Views
Habarini waungwa Nina kiatu changu aina ya suede kimepigwa pigwa vumbi. Sasa nauliza namna ya kukisafisha maana naona hesabu ya kutumia maji kama viatu vingine inagoma
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Za jioni kwa mliopo Tanzania, hili suala naomba niliongelee leo,mficha uchi hazai najua sote twafahamu hili. Kumekuwa na machapisho mengi humu yanayoelezea upakaji wa mafuta makalioni kwa wanaume...
0 Reactions
48 Replies
3K Views
Ni mwendo wa kunukia
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu, salamu, Jambo linalonileta kwenu ni hayo inayoendelea sasa, zamani kdg nilianza kushangaaa idadi ya wadada kuvaa vikuku mguuni ikiongezeka sikuelewa ni nn, maana nachojua ni wamasai mara...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Maana hata ukiletewa zawadi inabidi umchane ukweli aliyekuletea.
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habarini Wana Jf Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso zisizoisha ametumia lotion nyingi bila mafanikio naomba mnishauri atumie nini?
4 Reactions
79 Replies
32K Views
Kijana pambana kimaisha uwe namaendeleo kila utakacho kitaka au kukitamani utakipata kwa wakati wake
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau! Naomba anayejua wapi naweza kupata zile pamba ila sio pamba halisi zinawekwa kwenye mito ya kulalia au ile mito midogo ya sebuleni. Picha kwa uelewa zaidi
1 Reactions
0 Replies
634 Views
Ndugu, kama unafahamu mahali wanauza suaruali aina ya chino/cadets za ukweli hapa Dar nitajie hapa tafadhali. Yaweza kuwa mtumba ama dukani. Mradi tu ziwe za ukweli, siyo midosho. Jana nimepita...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari ya muda huu wana Jamiiforums, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza., nahitaj kufahamishwa ni maduka gani/wapi naweza pata hizi kofia kwa hapa Tanzania.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habar waungwana. Nina kama miezi miwili toka nianze kufuga dreadrock, je nitumie mafuta gani ili ziweke kukua kwa haraka?
0 Reactions
8 Replies
15K Views
Jamani naona Mama kapiga vazi fulani ila ni kama oversize na halimtoi vizuri kimuonekano. Swali ni je, wanaohusika na mavazi ya Mama wako makini? Ukiwa mkubwa, ujue hakuna dogo la kupuuzwa.
13 Reactions
48 Replies
4K Views
Mwaka huu nimejiwekea lengo la kuwa FIT. Nimeanza mwaka kwa mazoezi sasa hivi namaliza mwezi najisikia vizuri sana. Mazoezi sio lazima uende Gym. Hata chumbani au nje ya nyumba yako unaweza...
49 Reactions
536 Replies
42K Views
Ingawa leo hii high heels ni fashion kwa ajili ya wanawake lakini ukweli viatu virefu viliundwa kwa ajili ya wanaume. Mwisho wa karne ya 16, ndipo high heels zilianza kutengenezwa huko Uajemi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ohhh nikipita nikimsimamisha mtu ananipuuza/ Ohh nikiongea hata point ni kama vile sisikilizwi/ Ohh nahisi wameniibia nyota...n.k. Asilimia kubwa ya hawa watu huishia kutapeliwa na dawa za mvuto...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Heloo members, Naomba msaada natoka na vipele nikinyoa ndevu, nitumie dawa gani?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Maana Nyie Ndio kichwa Cha familia. Samahani naomba niwaulize. Hivi suala la mavazi ya heshima Kwa wake zenu kabla kuolewa na mlivyowaoa Nyie mnalionaje? Maana ni kama na Nyie mmekaliwa vichwa...
13 Reactions
139 Replies
4K Views
Tuache ushamba aisee. Puliza pafyumu au body spray inayokufaa wewe wewe peke yako within your own perimeters aisee. Inakera sana. Uzi tayari.
12 Reactions
86 Replies
12K Views
Back
Top Bottom