Miswaki ya siku hizi haina ubora kiukweli.
Mi ni mtu nazingatia sana usafi wa kinywa ila naangushwa na miswaki ya siku hizi, Whitedent ndo ilikuaga miswaki yangu bora ila naona nao wameanza...
Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.
Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa...
Direct to the point, nataka kujua tu kwa uzoefu wenu wana JF hasa katika jukwaa hili la Urembo.
Naomba kujua kati ya body spray na roll-on deodorant ipi inafaa kwa matumizi zaidi nyingine...
Ukienda saloon foleni ya wanaume wanaosuka corn row, extension, na weaving ni kubwa kuliko wanawake. Wengine hushinda hapo wakifanyiwa manicure na pedicure.
Wanaume hawa wamekua washauri wetu...
Kuna mabadiliko makubwa sana ya kasi katika tasnia ya mavazi hasa kwa mabrazameni na wadada wa kisasa.
Mavazi yanafanana kwa ukaribu sana kiasi kwamba inanipa tabu kujua jinsia hadi niangalie...
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart...
Tangu 2015 nlikua na ndoto za kumiliki creed Aventus kwasab niko addicted na mambo ya unyunyu, hatimae baada ya kushinda betting wiki iliyopita nimefanikisha ndoto yangu ya kumiliki unyunyu wa...
Bir erkek olarak kişisel bakımıma nasıl başlamalıyım, ne kullanmalıyım, bilgili ve yardımcı olabilecek biri olursa sevinirim :)
Kusursuz bir cilt için hangi kremi kullanmalıyım?
habarin za muda huu... nije kwenye mada tajwa hapo juu hivi ni kwel hizi dawa za kuotesha ndevu zinafanya kazi kwa waliowahi kuzitumia tupeni mrejesho
NAWASILISHA
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
Nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia hadi nyumba inanukia vile
Nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka...
Wakuu habarini
Naombeni msaada wa mafuta mazur ya nywele ambayo yatanisaidia kurefusha nywele na kuzfanya ziwe nyeusi na muonekano mzuri wa kuvutia maana wengine tuna nywele za vipili pili...
Habari wana JF
Hebu tupeane uzoefu wa mambo ya fashion kuhusu vifungo vya shati kukaa mkono wa kushoto au wa kula.
Kuna ukweli wowote kwamba vifungo vikikaa mkono wa kilia ni shati la kiume na...
Wana Jf habari za muda huu,
Bhana nimesagula viwalo vyangu mnadani ila kila nikivifua harufu ya mtumba haiishi.
Nimetumia sabuni kama aerial, Omo, jamaa ila wapi kitu hakitoki.
Naombeni...
Habari, Nimekutana na jamaa angu ananiambia kwa asilimia 70 ya mafuta ya olive oil tunayonunua ni fake, Tafadhari naomba kupata mwongozo ni wapi ambapo nitapata Olive oil pure.
Ndugu wanaJF
Kuna umuhimu wa kuogea sabuni yenye harufu nzuri tena ambayo mpenz wako anaipenda, ama waweza kuogea sabuni yoyote hata Omo ilimradi uwe umeoga?
Nimeuliza hivi kwasababu sabuni...
Habari wapendwa,,
Kati ya vitu ambavyo binadamu analazimika kutumiakila siku Ni mafuta ya kujipaka.
Katika uhitaji huu, wafanyabiashara nao wamekukuwa wakibuni aina mbalimbali za mafuta ya...
Niajabu waswahili tunatabia kufua chupi kwa siri yale maji ya mwishoo bafuni. baada ya kuoga afu tunaenda kuanika hadharani kama chupi ni siri sirini kwanini baada kuifua utuonyeshe anika chimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.