Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,708
- 1,553
Habari, Nimekutana na jamaa angu ananiambia kwa asilimia 70 ya mafuta ya olive oil tunayonunua ni fake, Tafadhari naomba kupata mwongozo ni wapi ambapo nitapata Olive oil pure.
Ya Spain yale Rafael Salgado au ?tangu nianza kutumia mafuta haya kupikia, sitamani kuyacha, ni mafuta mazuri mno, ila ni gharama mno aisee. labda tujuzane tu yaliyo original zaidi. nimetumia zaidi yale ya spain, though Italy nayo ni bora (vitu vingi vya italy ni vizuri kwani wao pia ni part of the mediteranean people upande wao wa kusini hasa sisily etc), ukipata ya Israel au Lebanon nayo nahisi yatakuwa original zaidi.
ndioYa Spain yale Rafael Salgado au ?
Huwa yanatumika kupikia pia ?ndio
wewe huw unajipaka?Huwa yanatumika kupikia pia ?
Mimi nayajua yanatumika kama tiba tu na huwa naona kwenye vichupa vidogo vya mils 100.wewe huw unajipaka?
OmdirigeringsmeddelandeMimi nayajua yanatumika kama tiba tu na huwa naona kwenye vichupa vidogo vya mils 100.
Lita tano yanuzwa sh ngapi?
Kupata Olive Origina ya lita tano inazidi Laki moja ya shilingiLita tano yanuzwa sh ngapi?
Inategemea ni ya kampuni gani na ya wapi na je ni virgin au la. Inaanzia laki kuendelea.Lita tano yanuzwa sh ngapi?
Duh hatari hiyoKupata Olive Origina ya lita tano inazidi Laki moja ya shilingi
Ni zaid ya laki 3 mkuuKupata Olive Origina ya lita tano inazidi Laki moja ya shilingi
duh kwa bei hizo ndo maana feki yametawala kama utitiriNi zaid ya laki 3 mkuu
Kichwa kinakuajeJipake kichwani alafu uone utakavokua kichwa...
Unakua husahau vitu....wa Israel huwa wanawapaka mafuta kichwani watoto..nichanzo kimojawapo ya kutunza kumbukumbuKichwa kinakuaje