Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,553
- 45,826
Kuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina.
Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?
Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?
Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?
Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?