CHIBA One JF-Expert Member Nov 16, 2018 560 2,087 Nov 18, 2018 #1 Wadau, Ningependa kujua mwenye ujuzi juu ya hizi zuria za ndani za manyoya (center carpets) imechafuka sana nahitaji kuisafisha, natumia njia gani??
Wadau, Ningependa kujua mwenye ujuzi juu ya hizi zuria za ndani za manyoya (center carpets) imechafuka sana nahitaji kuisafisha, natumia njia gani??
Hannah JF-Expert Member Aug 28, 2015 8,950 35,410 Nov 18, 2018 #2 Mimi huwa napeleka kwenye presha zile za kuoshea magari. Japo sijajua kama ni njia sahihi.
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,450 25,592 Nov 18, 2018 #3 Wacha ubahili..peleka Car Wash...
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,864 41,233 Nov 18, 2018 #4 Loweka kwenye maji ya sabuni baada ya muda sugua na brash ukiwa una eneo la kuitandika ili uisugue kama huna peleka carwash
Loweka kwenye maji ya sabuni baada ya muda sugua na brash ukiwa una eneo la kuitandika ili uisugue kama huna peleka carwash