Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Hivi mwanaume mzma una anzaje kuvaa suruali imekubana kama mwanamke jaman? Wengine wanavaa suruali zinabana mpaka vimatako vinachoreka kwa suruali halafu hawavai chupi. Sasa umkute ana matako...
4 Reactions
43 Replies
7K Views
Navaa pamba kali na najua haswa kuvaa vitu vikali. Napenda usafi wa mwili wangu mpaka mazingira yanayonizunguka. Nnanukia perfume nzuri Gucci, Creed au Uomo. Napenda kutumia vitu vyenye quality...
9 Reactions
106 Replies
14K Views
Wakuu, Hivi huu mtindo wa nywele kwenye ofisi unakubalika? Hasa hizi ofisi za kuajiriwa.
4 Reactions
45 Replies
11K Views
Habari zenu? Mimi ni mdada mwenye rangi ya maji ya kunde, ngozi yangu ina mafuta sana. Nilikuwa nikitumia lotion ya Cocoa lakini nimepata shida ya vipele vingi sana usoni. Sasa nimeshauriwa...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari waungwana Tuambizane ni mafuta gani mazuri kwa kutumia usoni kwa normal and dry skin.
2 Reactions
170 Replies
82K Views
UTUMIAJI WA FACE WASH AU FACIAL CLEANSERS HUPENDEZESHA ZAIDI USO WAKO U hali gani rafiki yetu na mpenzi wa mambo ya vipodozi na muonekano wa mwili? Karibu katika somo la leo linalohusiana na...
2 Reactions
7 Replies
23K Views
Habari wakuu, Naombeni ushauri wenu. Ni kitu gani ambacho naweza tumia kufanya nisitoke jasho kwapani. Jasho linanifanya nakuwa uncomfortable kiasi kwamba nashindwa kuvaa baadhi ya nguo maana...
6 Reactions
63 Replies
29K Views
Kuzuia ama kupunguza stretch mark za tumboni kwa wajawazito, asubuhi na muda wa kulala unakua una massage tumbo lako taratibuuu na mafuta ya Nazi Au Oliver oil. Chunusi, paka unga wa dengu na...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Acha kunyoa ndevu mara kwa mara zipunguze tu. Aidha huwa unanyoa kwa kutumia machine au razor na huwa unatumia shaving cream na after shave au lah! Inawezekana hizo cream ndo tatizo kama huwa...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Habari wapendwa. Karibuni tujifunze jinsi ya kutunza nywele zetu. Mimi napenda sana nywele ndefu.kwa kushirikiana pamoja tunaweza kujuzana ni mafuta gani unapaka ,na stiming gani unatumia ili na...
4 Reactions
21 Replies
13K Views
Wakuu habari zenu? Natumai mnaendelea vyema kulisukuma gurudumu la maisha hususani kipindi hiki cha huu ugonjwa wa corona. Niende moja kwa moja kuhusu mada hapo juu, naomba kujuzwa bei ya jumla...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna sketi nilinunua kwajili ya kufata bei cheap kwaiyo nikajikuta nimenunua sket nying muundo ule ule kasoro rangi hadi naulizwa nilizipendea nini. Hata mwenyewe sometime naona shida hadi kuvaa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa nikijiuliza wasichana hasa wanatakiwa kuvaa nguo gani ndani. Wengne nimeona huvaa chupi pekee, wengine chupi inayobana wengine chupi na underskirt, wengine kuvaa tyt pekee bila chupi...
0 Reactions
32 Replies
18K Views
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa , wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku...
1 Reactions
79 Replies
16K Views
Hebu nisaidieni wenzangu, ukiwa unatoka mfano Africa kusini na ndege yao kuja Tz, wanapuliza kama perfume/air refreshner kwenye ndege wanadai according to international blah blah. Mie nafkiri...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nisaidieni hii ni ipi nzuri ya kupaka kuondoa nywele kwenye kwapa au ndevu,maana biashara za kunyoa kwapa na shaver nishazichoka Ni ipi hair remover nzuri? Bei jee? Nipo serious maana kuna duka...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Nina duru za giza kuzunguka macho yangu kwa muda mrefu. Nilitumia bidhaa kadhaa kuondoa giza. Lakini hakuna matumizi. Ikiwa kuna mtu yeyote amepitisha shida hii, tafadhali nisaidie
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Mimi nmekuwa mtumiaji wa Deodorant za Fa kwa muda mrefu sana. Hasa baada ya NIVEA kunishinda au kutoendana na ngozi yangu. Nivea nlianza kutumia toka miaka ya 90s baadaye zikawa zina au mwili...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari warembo nilikua naomba kueleweshwa hivi hizi cream kama wix, dela nk ni asilia hazina chemicals? Nataka cream kutumia asilia lakini zitakazoipa ngozi yangu mng'ao na rangi amazing...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Nina hahika asilimia 78%, hawajui hiki kitu, wakati ukiendelea kufurahia matumizi yaliyozoeleka ya powder chukua na hii usiiyache kuitumia. Nilitembelewa na rafiki yangu alinicheka na kuniuliza...
13 Reactions
88 Replies
15K Views
Back
Top Bottom