Sam pizzo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 846
- 514
Wakuu habari zenu?
Natumai mnaendelea vyema kulisukuma gurudumu la maisha hususani kipindi hiki cha huu ugonjwa wa corona.
Niende moja kwa moja kuhusu mada hapo juu, naomba kujuzwa bei ya jumla ya mikanda ya kupunguza vitambi kwa wakina mama hasa kipindi wanapotoka kujifungua. Kama nimekosea naomba kusahihishwa lakini dhumuni litakua limeeleweka.
Natanguliza Shukrani, Ahsanteni.
Natumai mnaendelea vyema kulisukuma gurudumu la maisha hususani kipindi hiki cha huu ugonjwa wa corona.
Niende moja kwa moja kuhusu mada hapo juu, naomba kujuzwa bei ya jumla ya mikanda ya kupunguza vitambi kwa wakina mama hasa kipindi wanapotoka kujifungua. Kama nimekosea naomba kusahihishwa lakini dhumuni litakua limeeleweka.
Natanguliza Shukrani, Ahsanteni.