Hebu nisaidieni wenzangu, ukiwa unatoka mfano Africa kusini na ndege yao kuja Tz, wanapuliza kama perfume/air refreshner kwenye ndege wanadai according to international blah blah. Mie nafkiri wanatuona sie wachafu na vitu kama hivyo. Kuna mwenye maoni tofauti anijuze why only way back Tz?