Binafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili.
Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku[emoji1].
Halafu ukizingatia sijawahi...
Nimewaza tu wazee wenzangu kuwa tuna kila sababu ya kuwashukuru wenye Barber Shop au Saloon kwa kutusaidia tusiufikirie saaaana uzee tulionao. Wengi tunapaka Black na wengine tunanyoa vipara...
Tupo kiwanja na wana tunamalizia weekend. Kaja jamaa kaongozana na mrembo mzuri tu lakini alivyokuja kutusalimu hiyo harufu ya kinywa ni balaa. Mwana katutambulisha jamaa katoka mkoani.
Ni hayo...
Let Be Real.
Mwanamke mwili wake ndio pambo lake, ndio maana wanasema mwanamke uwa, Mwamke aliye Smart anaujari mwili wake kwenye maeneo tofauti tofauti.
Kwa mwanamke aliye Smart hawezi jiachia...
Wakuu nimekuwa miongoni mwa mhanga wa matumizi mabaya ya unyunyu ni zaidi ya addicted kama mtu anaetumia mihadarati Ngumu mm kuacha kabisa cost me pesa nyingi kununua Kila kukicha hata kama...
Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.
Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa...
Aiseeeee
Nilimsotea sana huyu mrembo nikampania sana maana kimuonekano ni anavutia haswa
Basi nikaenda nae hadi akawa sawa
Ajabu na kitu iliyonikata stim ni huyu demu kuwa na kingozi ligumu...
Habari wanaJF,
Naomba tazameni hii Video, then toa maoni yako, juu ya kusemekana huku kwamba Sidiria zimekuwa na vitufe vinavyosababisha Kansa kisha waelimishe na wengine
Habari Jf,
Wataalamu wa ngozi na vipodozi mnipe maelekezo mazuri hapa.
🔷 Jinsia (me) rangi ya ngozi black chocolate, aina ya ngozi ni ya kwaida siyo kavu wala sijawahi kupata chunusi. Mafuta ya...
Habari za midaa hii?
Nina swali kidogo kwenu dada zangu, Je nina mwanaume gani alikwambia anapenda/ama anapendezwa na nitakavyoviorodhesha?
Kutoga masikio zaidi ya tundu moja,
Kutoga pua,
Kutoga...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.
Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.
Ili kupunguza uzito basi...
hello warembo na watanashati,
Ni lotions gani za wadada ambazo ni maarufu ila hajizapigwa marufuku, sio fake na ni nzuri kwa viwango vyake, zenye bei ya kati 5,000-20,000.
Sio vibaya ukinitajia...
Hivi mwanaume mzma una anzaje kuvaa suruali imekubana kama mwanamke jaman? Wengine wanavaa suruali zinabana mpaka vimatako vinachoreka kwa suruali halafu hawavai chupi.
Sasa umkute ana matako...
Huyu afande, Kanali Mashauri ambaye ni mpambe wa Rais Samia, ukiacha mavazi ya kijeshi yuko vizuri pia katika mavazi ya kiraia.
Juzi niliona wakishuka pale Airport akiwa amevaa kiraia, amevaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.