Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.
Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.
Ili kupunguza uzito basi hutumia mafuta ya mnyonyo nakunywa kijiko kimoja kwa wiki mara mbili nalamba na ndimu na baada ya muda nakunywa maji vuguvugu.
Sasa huu mziki nilianza nao jana jamani niliharisha ila haikuwa sana.
Nilivyo mbishi nikaamka nao tena nikanywa tena leo aisee nimeharisha mara nyingi.
Ikumbukwe kuwa ukinywa haya mafuta usitoke kwenda mahali ukae ndani.
Usisahau pia kunywa maji kwa wingi ila ya uvuguvugu ili uchafu utoke.
Na ukitaka kukata kunywa maji baridi...
Sasa hapa najipa wiki 2 tu narudia kamwili kangu kazuri...
Hata kama hupunguzi uzito unaweza ukawa unakunywa kwa kusafisha tumbo
NB: kama unajua unamatatizo ya kupungukiwa maji au unamagonjwa makubwa usinywe...
Nitaleta mrejesho
Husika na kichwa cha habari,
Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.
Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.
Ili kupunguza uzito basi hutumia mafuta ya mnyonyo nakunywa kijiko kimoja kwa wiki mara mbili nalamba na ndimu na baada ya muda nakunywa maji vuguvugu.
Sasa huu mziki nilianza nao jana jamani niliharisha ila haikuwa sana.
Nilivyo mbishi nikaamka nao tena nikanywa tena leo aisee nimeharisha mara nyingi.
Ikumbukwe kuwa ukinywa haya mafuta usitoke kwenda mahali ukae ndani.
Usisahau pia kunywa maji kwa wingi ila ya uvuguvugu ili uchafu utoke.
Na ukitaka kukata kunywa maji baridi...
Sasa hapa najipa wiki 2 tu narudia kamwili kangu kazuri...
Hata kama hupunguzi uzito unaweza ukawa unakunywa kwa kusafisha tumbo
NB: kama unajua unamatatizo ya kupungukiwa maji au unamagonjwa makubwa usinywe...
Nitaleta mrejesho