Happiness Morice
Member
- Jul 28, 2021
- 7
- 3
Hbr zenu wandugu, hope mko poa.
Mimi ni maji ya kunde kidogo na my skin is a little bit dry kwa sasa nataka nianze kupaka palmers body cream and oil pamoja na face cream yake.
Kwa anaye yajua haya mafuta vizuri,je ni mazuri kweli au watu wanayapaisha tu?
Mimi ni maji ya kunde kidogo na my skin is a little bit dry kwa sasa nataka nianze kupaka palmers body cream and oil pamoja na face cream yake.
Kwa anaye yajua haya mafuta vizuri,je ni mazuri kweli au watu wanayapaisha tu?