Habari Ndg naomba kwa wadhoefu wa field msaada mchanganuo wa gharama kwa ekari moja wa mazao yafuatayo tafadhali nipate mwanga
1. Nyanya ekari moja
2.Vitunguu vya kawaida ekari moja
3.Hoho...
Kwa mujibu wa TAPIFA (2024)
🐖 Tanzania hutumia takribani tani 79,000 za nyama ya nguruwe kila mwaka,
lakini huzalisha tani 27,000 pekee.
👉 Tani 52,000 huagizwa kutoka nje kila mwaka.
Huu si...
Tanzania ni nchi inayotembea juu ya mabega ya wakulima na wafugaji.
Kila sahani tunayoweka mezani ni matokeo ya jasho lao—wakati mwingine jasho la mwisho kabisa.
Lakini cha kushangaza ni kwamba...
📌 KUMBUKIZI
Tulipata fursa ya kumtembelea Afande Ntale, askari mpambanaji na mwenye maono. Licha ya majukumu yake kazini, hakuona sababu ya kuachana na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa.
Kwa kupitia...
Habari wanajamvi,
Naomba kufahamu mahali wanakopatikana mbuzi kwa wingi na bei nafuu niko dar nahitaji wengi kwa biashara kama unafahamu mkoa, wilaya au kijiji basi naomba mnifahamishe.
Zao la nazi pia hujulikana kama mti wa uzima kutokana na kuishi kwa muda mrefu. Kilimo cha minazi ni uwekezaji mkubwa kwa sababu mkulima anaweza kurithisha hata kizazi chake.
Kwa bahati mbaya...
KUMBUKIZI 📌
Hapa ni zaidi ya Miaka m3 nyuma ambapo tulimtembelea Mzee kwezi na akatueleza na kutusanua fursa inayopatikana Katika Ufugaji wa ng'ombe wa Maziwa.
Hapa alieleza jinsi ambavyo...
💡Je, unajua? Ukirekodi gharama zako zote kwenye Fuga App,inarahisisha kufuatilia faida na hasara zako kwa urahisi ukiwa popote pale kupitia simu yako📱kwa ajili Ufugaji Wako wa Kuku
Huna haja ya...
Usishtuke na kichwa cha habari—ni utani tu.
Lakini ujumbe wake ni mzito na wa kweli 👇
🐄 Ufugaji wa ng’ombe ni fursa kubwa ya kiuchumi, haijalishi unaishi wapi:
iwe ni kijijini, pembezoni mwa mji...
Hapa Tanzania ukisema kuna ng’ombe wanaoweza kutoa lita 40 za maziwa kwa siku, wengi watakushangaa—wengine hata watakupinga kabisa.
Lakini ukweli ni huu: ng’ombe hao wapo. Ukienda nchi jirani kama...
Jamani habarini wana JF.
Niko mbioni kufunga drip irrigation system shambani kwangu. Nimeona niachane na miradi mingine kwanza nikomae na hili. Nataka nilime vitunguu saumu kwa shamba lenye...
Chukua mfano wa ng’ombe mmoja bora wa maziwa:
➡ Anaweza kutoa wastani wa lita 15–20 kwa siku
➡ Kwa bei ya sasa ya soko (maeneo mengi TZS 2,000 au zaidi kwa lita), hii ni sawa na:
TZS 30,000–40,000...
Kama kichwa kinavojidadavua hapo juu, mimi ni kijana wa makamo naishi Dare es Salaam,
Nafanya kazi kwenye government company hapahapa mjini kwa muda kidogo najihusisha na kilimo cha bustani...
Ng’ombe mmoja wa maziwa anaweza kukupa mapato ya hadi TZS 900,000 kwa mwezi — si kwa bahati, wala miujiza, bali kwa maarifa sahihi, mipango thabiti, na ufugaji wa kibiashara unaoeleweka...
Naomba mtaalam wa kilimo Cha pesheni anae fahamu vitu vifuatavyo.
Anaejua mbegu nzuri na bora sokoni?
Anaejua vipimo Vya kilimo Kwa mche na mche
Anaejua muda wa kukomaa tunda hilo na njia za...
Ukiona serikali ya sisiyemu imetoka mbio mbio kutoa tahadhari ya janga la njaa na kuwasihi wakulima watunze chakula ujue hali si rafiki kabisa.
Mwigulu nchemba kageuka kuwa Yusuphu wa kwa farao...
Tukio la uume wa mbwa wa kiume kubaki ndani ya mbwa wa kike baada ya kupandana ni jambo la kawaida kabisa na ni sehemu muhimu ya uzazi wa mbwa. Hali hii huitwa “copulatory tie” au “lock”. Ni...
Wengi tunadhani tutakumbuka tarehe za Kuku wetu chanjo kichwani,lakini sio kweli , Kama Young Lunya alivyosema "Kichwa kina vitu vingi"
Ukweli mchungu ni kwamba unaweza kusahau kuwapa kuku wako...