Ni ugonjwa gani huu wa kuku?

Ni ugonjwa gani huu wa kuku?

Holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
8,703
Reaction score
19,589
Sina picha ya kuambatanisha lakini kupitia maelezo mtapata picha kamili ya ugonjwa wa kuku wangu.

Iko ivi,mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, kuku wangu wadogo kama wa miezi mitatu minne hivi wamevimba koromeo, yaani kumetokea uvimbe umening'inia, sio mgumu ni laini umening'inia kiasi kwamba wakati wa kudonoa chini unagusa,

Wataalamu wa mifugo nini hiyo na ni tumie dawa gani kuwatibu?
 
Sina picha ya kuambatanisha lakini kupitia maelezo mtapata picha kamili ya ugonjwa wa kuku wangu.

Iko ivi,mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, kuku wangu wadogo kama wa miezi mitatu minne hivi wamevimba koromeo, yaani kumetokea uvimbe umening'inia, sio mgumu ni laini umening'inia kiasi kwamba wakati wa kudonoa chini unagusa,

Wataalamu wa mifugo nini hiyo na ni tumie dawa gani kuwatibu?
Hongera asee tushajuwa unafuga kuku.

adriz de mbusii
 
Hii ni changamoto ya kuchelewesha kuwapatia chakula ivyo kikija wanafakamia mpk hewa inajaa kwa mfuko w chakula. Ivyo chukua pini safi toboa tu kisha safisha na maji (chumvi)y vuguvugu.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Sina picha ya kuambatanisha lakini kupitia maelezo mtapata picha kamili ya ugonjwa wa kuku wangu.

Iko ivi,mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, kuku wangu wadogo kama wa miezi mitatu minne hivi wamevimba koromeo, yaani kumetokea uvimbe umening'inia, sio mgumu ni laini umening'inia kiasi kwamba wakati wa kudonoa chini unagusa,

Wataalamu wa mifugo nini hiyo na ni tumie dawa gani kuwatibu?
Huo ugonjwa hauna dawa ni ugonjwa wa kupinda shingo kama wamevunjwa fulani .
Hapo kuna mawili kupona au kufa.
 
Back
Top Bottom