Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Nahitaji mwenye uzoefu na aliewahi kuandika project proposals au research proposal hapa me nina mwanga lakini hautoshi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ni bidhaa itumikayo kwenye gari,pikipiki, generator,meli,treni,mitambo ya migodini na vifaa vingine vyote vitumiavyo petrol au diesel kwa ajili ya kusafisha mafuta hayo utumiayo FAIDA BAADA...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Sijui jina halisi la kitaalamu lakini suala lenyewe lipo hivi. Nikiwa mdogo nilishawahi kuona hii kitu kijijini, leo hii na mimi nataka nikafunge udongo kwenye tawi la miti ya milimao na...
4 Reactions
3 Replies
343 Views
Habari za muda; Mimi ni mfugaji ninahitaji yai la mbuni na tausi lenye kiini kwa ajili ya kutotolesha.kibali chake cha kumfuga ninauwezo wakukipata.Taarifa tafadhali. Wasiliana nami...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukiachana tofauti ya bei ya njiwa huanzia elfu 10 pair moja ya njiwa Wa kawaida, elfu 60 kwa wale weupe, na wengine wapo wanauzwa hadi laki 8 kwa pair moja! (Kazi moja ya njiwa ni...
28 Reactions
256 Replies
44K Views
Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine...
0 Reactions
14 Replies
905 Views
Kulikuwa na wimbi kubwa la matangazo na mauzo ya mayai ya ndege mdogo aina ya kware. Mayai yake yalisifiwa sana na kushawishi watu wengi kuyatumia. Wapo hata walioanza na kuimarika katika ufugaji...
9 Reactions
41 Replies
7K Views
Tafadhali kwa wale wanaojua magonjwa ya mimea hasahasa mahindi, (i)Naomba mnijuze huu ni ugonjwa gani kwenye hili hindi? (ii) Nawezaje kujikinga ntakapopanda mahindi tena msimu ujao. Naomba...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
helow Wadau mm ni mfanyabiashara wa kati, nnaenunua tikiti maji na ku_supply jijini Dar-es-salaam. Kwa yeyote anaefanya kilimo hiki, tuwasiliane tujenge uchumi wetu. Biashara hii inafaida kubwa...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
  • Redirect
Naomba kama kuna mtu ana utalamu juu ya utengenezaji wa yoghurt tupeane mbinu na changamoto za biashara
0 Reactions
Replies
Views
Get Logo,Banner, Letter head,proforma invoice ,delivery note,Tax invoice, and many more different designs for only Tshs 20,000/= per each in a bundle of 10 up to 20 artworks, your most welcome...
0 Reactions
1 Replies
963 Views
Habari? Ndugu zangu mliopo makazini,mijini au wenye fedha kiasi ambao wanapenda kujishughulisha na shughuli mbalimbali ili wajiongezee kipato. Kuna watu wanafanya kazi hawana muda...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
BY DINFIN MULUPI | ENTREPRENEUR WATCH, FEATURE ARTICLES, ICT, TANZANIA | Nadeem Juma established an international school ten years ago at the age of just 19, and is the co-founder...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakubwa salamu sana ama baada ya salamu naomba mwenye kujua Bei ya hizi Basi za Yutong sasa hivi sijui zimefika ngapi, Napenda kujua bei complete kabisa. Shukrani na abarikiwe kila asomae Post...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani huko vijijini watu wamekuwa wakitumia ulimbo kuwategea ndege wadogo mashambani au sehemu za vichaka ndege wengi wanapotua. Huo ulimbo unatokana na utomvu mzito wa miti fulani ambao...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Huwa nasikia nanenane kanda ya mashariki, kati, kaskazini, kanda ya ziwa na kanda ya nyanda za juu kusini lakini zanzibar sijawahi kusikia, ikoje hii?
0 Reactions
0 Replies
974 Views
MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO "Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarini wanaJF, Samahani naomba kufahamu kwamba ni zao gani ambalo Lina mzunguko mkubwa sokoni kwa hapa Tanzania. Ninataka kuanzisha kilimo mda sio mrefu, Ila sasa sijajua kwa kipindi hiki in zao...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habari za leo,bila shaka wazima na mnaendelea namihangaiko yenu ya kila leo. Naomba msaada wa kujua ni zao gani nilime kipindi hiki huko ili na mimi nijitose mzima mzima kwa mara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau, poleni kwa majukum. Lengo la Uzi huu ni kupata maoni yenu. Nina shamba la ekari 3 lipo eneo la mitonga -mbanja Lindi. Ardhi yake ni ya mchanga, mazao yanayostawi ni pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
906 Views
Back
Top Bottom