Zao gani nipande

Zao gani nipande

Averos

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2010
Posts
994
Reaction score
703
Habari wadau, poleni kwa majukum.
Lengo la Uzi huu ni kupata maoni yenu.
Nina shamba la ekari 3 lipo eneo la mitonga -mbanja Lindi. Ardhi yake ni ya mchanga, mazao yanayostawi ni pamoja na Karanga, mihogo, mahindi, choroko, kunde, n.k
Nataka ushauri wenu ni zao gani la kibiashara nipande la muda mfupi lenye soko Zuri
Naomba kuwasilisha.
 
Nakushauri ujaribu choroko na mihogo. Masoko ni ya hakika.
 
Lima kitu ambacho hata usipopata soko utakula mwenyewe.
Ushauri wangu bora ulime mahindi.
 
Back
Top Bottom