Habar wan Jf.
Nimefurahi kufika kwenye jukwaa hili. Nachohitaji ni msaada wa mawazo. Mi nimemaliza Bachelor mwaka jana, but mpaka leo ajira kwangu ni ndoto kuipata. Nimeamua kuwazia biashara, lakini chakushangaza, mtaji sina.
Nashndwa kwenda kwenye taasisi zinazotoa mikopo coz vielelezo kama vile mali isiyohamishka sina. Nimejaribu kuomba kukopeshwa kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki, cha ajabu kila mtu amenijia na waraka uliojaa shida na matatizo ya nyumbani kwake.
Nimefikia mahali naanza kuona giza mbele yangu. Nimebakia naweweseka tu. Wanajimvini naombeni ushauri wenu nifanyeje mimi!?.
NATANGULIZA SHUKRANI
Nimefurahi kufika kwenye jukwaa hili. Nachohitaji ni msaada wa mawazo. Mi nimemaliza Bachelor mwaka jana, but mpaka leo ajira kwangu ni ndoto kuipata. Nimeamua kuwazia biashara, lakini chakushangaza, mtaji sina.
Nashndwa kwenda kwenye taasisi zinazotoa mikopo coz vielelezo kama vile mali isiyohamishka sina. Nimejaribu kuomba kukopeshwa kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki, cha ajabu kila mtu amenijia na waraka uliojaa shida na matatizo ya nyumbani kwake.
Nimefikia mahali naanza kuona giza mbele yangu. Nimebakia naweweseka tu. Wanajimvini naombeni ushauri wenu nifanyeje mimi!?.
NATANGULIZA SHUKRANI