Habari ndugu wana jamii forum samahani nilikuwa nauliza kama kuna mtu anayafahamu mashirika ya kilimo au ya wakulima Tanzania Naomba anitajie kwani Nina research nataka kuifanya lakini sijajua...
Oriflame has given me and so many other individuals the means to reach for our Dreams..Join my Oriflame family as we Change Lives with Oriflame (smart business) mtu yeyote anaweza akajiunga...
Salaam wakuu. Poleni na majukumu mbalimbali, mimi ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya biashara (Bachelor of Commerce), kwa mda wa miaka minne sasa sijafanikiwa...
Habarini GTs,
ningeomba mwenye ufahamu ni wapi naweza kupata/kununua ng'ombe bora mbegu za kisasa wa maziwa na wa nyama kwa hapa TZ anijulishe ninataka kuanza kufuga somewhere huko rufiji...
WanaJF wanaohitaji majogoo ninayo 200. Mengi kama 150@15000 na mengi new 50@25000. Haya ya 25000 ni makubwa sana. Karibu tupo Bunju. Ukichukua mengi unaletewa kwa DSM.nitaatach pics later
Kwa mwenye kuwa na wafanyakazi wanaoweza kufanya palizi ,kuvuna(kutunza shamba kwa ujumla) anijulishe.
eneo la kazi ni pwani wanahitajika wawili.
simu 0768942828
TRANSPLANTS:
Kuna aina ya mfumo wa uoteshaji ambao dunia wakoloni//wazungu kupitia vyuo vikuu mbali mbali kwao au hata hapa kwetu Africa umeuona una maana na hata kupewa kipaumbele.
Aina hii ya...
Wadau heshima kwenu,
Nauza mitetea wa kienyeji waliofikia umri wa kutaga kwa bei ya shilingi 17000 kila mmoja. Wana maumbo makubwa na wanafaa kwa kufuga au kwa nyama. Nipo Tabata, lakini naweza...
SICON PRINTERS GET WAY
We dealing with;
T-SHAT PRINTING;
Screen printing & transfer
PAPER PRINTING ;
Brounchures
bussiness cards
ID Cards
Flyers
Posters
stickers
Callendar
Graphics design...
Mimi ni kjana niliyeajiriwa kwenye kampuni moja mafuta Tanzania, lakini nimepata access ya running capital - mafuta pamoja na initial fund ya ku_run petrol station. Kwa yeyote mwenye connection...
Habari za mapumziko ya Pasaka Wana JF,
Kwa wale wenye twakwimu embe tuwekeeni hapa ili tuweze kujua vipindi vya kilimo kila mkoa na aina ya mazao yafaayo kwa kilimo ili tuzione fursa na kuzikamata
Habarini wana jf. Sijui kama hii thread lmeshawekwa au la. Ila lengo ni kutaka kujuzwa juu ya uwekezaji katika soko la hisa.
Naomba kujua faida za hisa zinakuwaje, hasara zake na ni wakati gani...
Habari zenu wana forum
Nauza kiwanja changu kipo kigamboni mji mwema karibu na barabara iendayo gezaulole nikama kiwanja cha saba toka barabara kuu ya kwenda geza kin ukubwa wa sqm 350 bei...
Hali zenu wadau wangu naitaji kwenda Thailand kununua nguo za watoto yupo anae enda au anajua maduka ya nguo za watoto ya lipo anielekeze au kama anakwenda tuongozane
Wadau wenye uzoefu na uelewa plz nisaidieni namna ya kutengeneza chakula bora cha Kware cha wik ya5 nakuendelea ili waweze taga vizuri mfululizo na mayai yenye ubora, naogopa chakula cha dukan...
Wadau hasa wale wenye idea na water pump kwa ajili ya kilimo cha umuagiliaji wa kawaida,naombeni msaada wenu juu ya hizi water pump,hasa kuhusu bei,aina na uimara wake!hitaji langu kubwa kwa pump...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.