Wakuu wa JF hasa MR. MLILA
Nataka kuanzisha kilimo kikubwa cha alizeti, kutokana na soko lake kuwa la juu sana hapa nchini nimeona ni muda muafaka nijikite huko na sitakuwa hapa mjini kwa muda kuanzia November mwaka huu.
Nina maswali machache tu ambayo inabidi niyatafutie majibu yake kabla ya kuaza zoezi hili.
1. Ni mkoa upi unafaa kwa kilimo cha Alzeti
2. Je kuna mbegu aina ngapi za Alzeti na ipi itanifaa katika mkoa tanjwa?
3. Nina uhakika na masoko ya ndani, je kuna mtu anafahamu masoko ya nje maana nitalima si chini ya hekari 100 kwa kuanzia.
4. Wazo langu linaendana na kupata mashine ya kukamulia Alzeti hiyo na Packing - je kuna mtu ana fununu za mashine hizi na bei zake hasa za India na china?
Kilimo ni kwa vitendo si maneno: Natoa hoja.
Nataka kuanzisha kilimo kikubwa cha alizeti, kutokana na soko lake kuwa la juu sana hapa nchini nimeona ni muda muafaka nijikite huko na sitakuwa hapa mjini kwa muda kuanzia November mwaka huu.
Nina maswali machache tu ambayo inabidi niyatafutie majibu yake kabla ya kuaza zoezi hili.
1. Ni mkoa upi unafaa kwa kilimo cha Alzeti
2. Je kuna mbegu aina ngapi za Alzeti na ipi itanifaa katika mkoa tanjwa?
3. Nina uhakika na masoko ya ndani, je kuna mtu anafahamu masoko ya nje maana nitalima si chini ya hekari 100 kwa kuanzia.
4. Wazo langu linaendana na kupata mashine ya kukamulia Alzeti hiyo na Packing - je kuna mtu ana fununu za mashine hizi na bei zake hasa za India na china?
Kilimo ni kwa vitendo si maneno: Natoa hoja.