mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 772
Nafikiria kununua ki-Suzuki carry kwa biashara. Naomba ushauri wenu kwa wale wenye uzoefu wa biashara hii. Mfano; Kwa siku hesabu imefikia ngapi, n.k.
Hivyo vigari havifai ase ,unaweza kununua leo na kesho tu kikaharibika, wkt hata hujaanza kupata faida, una jikuta unakopa kwa ajili ya matengenezo mara kwa mara, bora hata ununue bajaji three wheeler na ni vyema zaidi u kaendesha we mwenyewe kama una mda.