kidamali NYAMIHUU
New Member
- Feb 28, 2015
- 1
- 0
Wana jukwaa mm ni kijana natamani kufanya biashara ila mtaji (capital) nilionao ni kama laki sita hivi,
Je ni biashara gani nitakayoweza kuifanya?
Je ni biashara gani nitakayoweza kuifanya?