Kwa wanafuga kuku dawa bora ya kukinga na kutibu kideli. Ng'ombe, mbuzi, nguruwe, na mifugo mingine yote zipo dawa za minyoo. Tibu mifugo yako.
Tuwasiliane wandugu 0763797853
Natumai wewe kama mfugaji ulisha kutana na ugonjwa huu gomboro kuku kushusha mabawa na kukonda ya pili kideri kuku hushusha mabawa na kukonda zingatia chanjo hizi wakati wakiwa vifaranga hutaona...
Jaman nahitaji wasichana watatu jobles na wenye elimu ya kidato ca nne kushuka chini.
Nategemea kufungua migahawa miwili hapa dar hivyo naowahitaji ni kwa ajili ya uhudumu!!
0755957515 sms or...
Habari za usiku wana JF naomba msaada kwa mtu yeyote ambae anaweza kujua ni kampuni gani inayo uza farmer's kit kwa bei nafuu. Natanguliza shukrani zangu za dhati
Tangazo hili linamhusu mwenye mtaji na nia ya kufanya biashara ya stationary maeneo ya Moro town. Ofisi iko eneo zuri kibiashara na inalipa kwa kweli.
Kwa upande wangu usimamizi umezingua baada...
Mfano wewe unaishi Dar es Salaam, na umewekeza shamba labda Morogoro au Iringa au Singida au Shinyanga, hii iko sawa au mpaka uwe na shamba lililo karibu na wewe??
Kuna baadhi ya marafiki zangu...
Baada ya kumaliza chuo niliamua kufungua biashara kutokana na changamoto za ajira,nikafungua biashara ya duka dogo kwa mtaji wa laki 3,nilianza na vitu vichache sana lakini muhimu kwa wateja kama...
Kwa mahitaji yako ya viranga vya sato tafadhali wasiliana nasi kupitia namba hii 0717314500. Tupo Dar es Salaam Cheka, njia ya kwenda Kimbiji Kilomita 24 kutoka Kigamboni Ferry. Vifaranga vipo vya...
Habari,
Wapendwa naomba msaada nataka nifanye biashara ya kuuza Sendoz za kimasai nitoe Dodoma nkafungue duka Mkoa mwingine ambako ni adimu kupatikana.
Sasa naomba kujua nitapata wapi nchukue...
Baada ya kuona maisha yamekua magum nyumban na uwezekano wakwenda shule mwaka huu kuwa mgum nimeamua kujtoa muhanga kwenda mkoa wa iringa ili kuangalia fursa mbalmbal ambazo zaweza kúnisaidia...
Wanajamvi naomba msaada kwenu....
Nategemea kupata kuku wa nyama hivi karibuni hivyo naomba kupewa maelekezo pindi tu watakapofika.
Kuku watakuwa 200 , banda lipo zuri, .
Chakula gani na...
Incubators full automatic zenye uwezo wa kuchukua mayai 528 kwa wakati mmoja zinapatikana pamoja na garantii ya mwaka mzima!
wasiliana na namba 0763 395933 au 0785 670038.
Karibuni sana
Je umeshafanya biashara yoyote bila mafanikio? au kujarb harakat zozote za kujikwamua kimaisha bila mafanikio?
Kama jibu ni NDIO tuone sisi wataalam wa semina za ujasiria mali tukupe mbinu na...
Wajasiriamali nauliza soko la uhakika la samaki aina ya kambale au Catfish....Hivi kuna hotels ambazo wanatumia hawa samaki.? au naweza je kufanya value addition.?
Wanajamvi natafuta mayai ya kuku wa kisasa kwa ajili ya kuuza maana nina fremu yangu ya mayai lakini mzigo napata kwa kusuasua....Mwenye nayo naomba anipe bei nzuri na uwezo wake kunisupply...
4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.