Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Salamu !nataka Nianzishe Kilimo Cha Umwagiliaji Maeneo Ya Wazi Na Pia Nilime Kwa Kutumia Green House.nimekutana Na Changamoto Ya Maji Na Nikaamua Nitafute Mbinu Ya Kua Na Kisima Kirefu Ili Kua Na...
1 Reactions
14 Replies
9K Views
Harini wadau wa JF, Nina shamba ekari 50 zenye rutuba maeneo ya Jaribu Rufiji, mimi sina muda wa kufuatatilia/ au kuendeleza, natafuta mtu mwenye nia, mtaji wangu uwe ni shamba, yeye aendeleze...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nauza kuku wa kienyeji jumla na rejareja, bei inaanzia elfu 12 mpaka 20. napatikana dar mbezi ya kimara. napatikana kwa no 0758065919
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyosema, nauza majogoo bei tsh 14,000, yako saba. Napatikana Ubungo kibo, kwa mawasiliano zaidi ni pm, au piga 0717301520
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nina kamua mwenyewe 100% pure kwa wale wa mbali nitakuletea mpaka ulipo,napatikana dodoma simu:0782433682
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi ni kijana ambaye ninasoma chuo kikuu kwa sasa nilikuwa nahitaji mkopo wa Tsh 4ml kwa ajili ya mtaji wa biashara ambayo nimeibuni. Sasa tatizo sina kitu ambacho namiliki kwaajili ya kuviweka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka mtaji, mimi nina Diploma ya IT na ni mtaalamu sana kufunga CCTV Camera, kwahiyo nikipata mtu akiniwezesha nitashukuru au akinitafutia kazi ili nipate mtaji.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni nafasi ya kipekee kwetu sisi vijana kwa kujiajiri kwa mtaji wako mdogo sana wa tsh elfu 40 na kutengeneza zaidi ya usd 500000. Check me on 0759 116066
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana jamvi, Nataka kuanzisha mradi wa kilimo na ufugaji nipo Mkoa wa Shinyanga, wapi naweza kupata mkopo? Tafadhali nisaidieni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wapendwa, Mimi ni mjasiliamali mpya kabisa na nataka kuanza na kuku wa kisasa wa mayai hivyo naomba mnisaidie yafuatayo, Nataka kuanza na kuku 500(vifaranga) nahitaji mtaji kiasi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wana jamii. Ninahitaji eneo kubwa popote nchini ambalo nitauziwa kwa bei poa ili nichimbe bwawa kubwa la kuvunia maji ya mvua kwa ajili ya kilimo. Naweza pata wapi ndugu zangu. MI ninaishi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa nahtaji kuanzisha biashara ila cna hata chanzo sasa je pride wanakopesha mtu binafsi bila ya kuwa kikundi msaada kwa anayejua
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ajira zimekua ngumu kupatikana siku hizi bila kujali unamjua nani au nini ukijuacho. Hivi vitu kumi vitakusaidia kukuongezea ubunifu na kukuweka katika hali nzuri katika soko hili la kutafuta...
16 Reactions
35 Replies
9K Views
I've always wanted to be a designer and normally,hua nachora designs kisha nishonewe.many ppl including Taylors wenyewe wameniadvice nijifunze kushona...which I agree. So,kwa yeyote anayejua...
0 Reactions
1 Replies
611 Views
Nauza na kufix accessories za computers kama.... Screen za Laptop Battry za Laptop Keyboards za Laptop HDD za Laptops na Desktop Ram memory both Pc repairs & maintanence Windows & Softwares...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Napenda kuwapa taarifa watanzania popote pale mlipo.......ninafanya ujasiliamali na ninawataarifu vijana wote na watu wa rika lolote waje tufanye ujasiliamali wenye tija na maendeleo yetu kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kwa uhitaji wa mayai ya kuku wa kienyeji tsh10000 tray na ya kware tsh 12000 tray pia kwa uhitaji wa vifaranga chotara kutoka malawi na vifaranga vya kware na mambo mengine mengi kuhusu ufugaji na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jaman naombeni mnijuze wapi nitapata vifaranga wa kware pamoja na bei zake.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Diathermy erbe icc bipolar inauzwa ni mtumba toka usa ila ni made in germany iko katika hali nzuri.
0 Reactions
2 Replies
753 Views
Back
Top Bottom