Kwa mahitaji ya kupimiwa viwanja,mashamba na kutafutiwa hati miliki wasiliana nami kupitia namba hii+255716638238..uweze kupimiwa ardhi yako kwa bei nafuu...
Wadau naomba kufahamu bei ya viazi mviringo ya tarime, nataka nifahamu niiweke katika mpango wa kusafirisha kwenda mwanza, hivyo wenyeji wa tarime au wafanya biashara hiyo naomba wanisaidie...
Kwa wale wenye uhitaji wa perfume za set za kike na kiume zinapatikana kwa bei ya Tsh.60,000 na Tsh.70,000...
Set imekusanya perfumes 2 S/s na L/s na body lotion na shower gelly!
Wahi nipm ujipatie
Kwa wenye mahitaji ya mbao aina zote mnakaribishwa treated na sypras kwa bei nzuri toka mafinga bei ya cubic meter iko chini sana ukilinganisha na ukiuziwa hapa mjini njoo tufanye biashara Pamoja
Habarini ndugu,
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza. Nahitaji maua ya aina mbalimbali na nyasi za kisasa nyembamba zenye umbo la bomba rangi kijani iliyokowa, hii ni kwa ajili ya bustani yenye...
Wadau,
Ni salon ya standard ya kati. Ipo mahali pazuri kwenye movements za watu. Pia imeshafanya kazi kwa miaka miwili hivyo ina wateja na imeshazoeleka. Mwenyewe ni dogo langu lilikuwa linasoma...
Kwanza niwape hongera ambao tayari wameshafanikiwa kupata vitambulisho vya kupigia kura kwa nchi nzima na niwape pole kwa wale ambao bado hawajapata na pia nnawatia moyo kuendelea kuvifuatilia...
Mahitaji
Boksi, bakuli la maji, bulb, holder na themometer.
Jinsi ya kutengeneza
Toboa boksi mduara wa kutosha kufit bulb, weka mayai, bakuli la maji kwa ajili ya kutengeneza unyevu na mwisho...
Habari ndugu zangu,
Naomba kujuzwa kuhusu semina za amka na badilika ratiba take na je,zinamanufaa ya kuonekana au zinamsaada kwa sie tunaotaka kuanza ujasiriamali mdogo mdogo?
Nisaidieni please!
Habari!
Kwa wale waliowahi kusoma UDSM (Mlimani) miaka ya nyuma huenda wanamkumbuka huyu kijana "sharobaro" muuza karatasi ambaye inadaiwa ni "mnyalu" kutoka kule Iringa.
Alichokuwa anafanya ni...
Habari zenu Wanajamvi,
Kiukweli nimemaliza kutengeneza banda langu kwa ajili ya mfugo wa kuku wa nyama. Kwahivyo naomba kupewa maelekezo mazuri juu ya:-
1. Kifaranga mmoja ni sh ngapi ?
2. Wapi...
RIJK ZWAAN ni kampuni iliyobobea kwenye utengenezaji wa mbegu bora za mboga mboga. Kwa tanzania tuna matawi mawili Arusha (Q SEM na AFRISEM). Pia tuna tawi jipya Mwanza na sasa Bagamoyo. Kutoka...
Nina Pesa Ppf 5m Ila Kwasasa Sifanyi Kaz, Nilitaka Nichukue Mkopo Wa 2m Nmb Kwa Dhamana Ya Hela Ya Ppf Maana Ppf Mkataba Hatuja Katatisha Bado. Hv Inawezekana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.