Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Naomba msaada kwa anaefahamu namna ya ufugaji wa samaki.Nimekua na shauku yakufuga samaki ila nashindwa kwani sina japo elimu kidogo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta wateja wa kuku wa kienyeji
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kwa mahitaji ya kupimiwa viwanja,mashamba na kutafutiwa hati miliki wasiliana nami kupitia namba hii+255716638238..uweze kupimiwa ardhi yako kwa bei nafuu...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Wadau naomba kufahamu bei ya viazi mviringo ya tarime, nataka nifahamu niiweke katika mpango wa kusafirisha kwenda mwanza, hivyo wenyeji wa tarime au wafanya biashara hiyo naomba wanisaidie...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa wale wenye uhitaji wa perfume za set za kike na kiume zinapatikana kwa bei ya Tsh.60,000 na Tsh.70,000... Set imekusanya perfumes 2 S/s na L/s na body lotion na shower gelly! Wahi nipm ujipatie
1 Reactions
0 Replies
44K Views
Kwa wenye mahitaji ya mbao aina zote mnakaribishwa treated na sypras kwa bei nzuri toka mafinga bei ya cubic meter iko chini sana ukilinganisha na ukiuziwa hapa mjini njoo tufanye biashara Pamoja
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini ndugu, Kichwa cha habari hapo juu chajieleza. Nahitaji maua ya aina mbalimbali na nyasi za kisasa nyembamba zenye umbo la bomba rangi kijani iliyokowa, hii ni kwa ajili ya bustani yenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Naomba nijuzwe wapi naweza pata mashine za kuranda na kuchana mbao pamoja bei zake. Mimi napatikana Dar na Dodoma.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
hello team nataka kufuga ng'ome wa maziwa dar magwepane nataka nianze na wawili wenye mimba naomba mwongozo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, Ni salon ya standard ya kati. Ipo mahali pazuri kwenye movements za watu. Pia imeshafanya kazi kwa miaka miwili hivyo ina wateja na imeshazoeleka. Mwenyewe ni dogo langu lilikuwa linasoma...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwanza niwape hongera ambao tayari wameshafanikiwa kupata vitambulisho vya kupigia kura kwa nchi nzima na niwape pole kwa wale ambao bado hawajapata na pia nnawatia moyo kuendelea kuvifuatilia...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mzee wangu anauza mayai ya kware kwa bei nafuu sana hasa kwa wenye kuuza reja reja inawafaa sana kwa tray inaenda 12,000 top top. Kama unahitaji ni PM
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mahitaji Boksi, bakuli la maji, bulb, holder na themometer. Jinsi ya kutengeneza Toboa boksi mduara wa kutosha kufit bulb, weka mayai, bakuli la maji kwa ajili ya kutengeneza unyevu na mwisho...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu, Naomba kujuzwa kuhusu semina za amka na badilika ratiba take na je,zinamanufaa ya kuonekana au zinamsaada kwa sie tunaotaka kuanza ujasiriamali mdogo mdogo? Nisaidieni please!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari! Kwa wale waliowahi kusoma UDSM (Mlimani) miaka ya nyuma huenda wanamkumbuka huyu kijana "sharobaro" muuza karatasi ambaye inadaiwa ni "mnyalu" kutoka kule Iringa. Alichokuwa anafanya ni...
17 Reactions
81 Replies
14K Views
Habari zenu Wanajamvi, Kiukweli nimemaliza kutengeneza banda langu kwa ajili ya mfugo wa kuku wa nyama. Kwahivyo naomba kupewa maelekezo mazuri juu ya:- 1. Kifaranga mmoja ni sh ngapi ? 2. Wapi...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habarini za kazi wadau, Natafuta wanunuzi wa asali mbichi mjini Dar es salaam. Kwa yeyote anayehitaji ani pm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
RIJK ZWAAN ni kampuni iliyobobea kwenye utengenezaji wa mbegu bora za mboga mboga. Kwa tanzania tuna matawi mawili Arusha (Q SEM na AFRISEM). Pia tuna tawi jipya Mwanza na sasa Bagamoyo. Kutoka...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Nina Pesa Ppf 5m Ila Kwasasa Sifanyi Kaz, Nilitaka Nichukue Mkopo Wa 2m Nmb Kwa Dhamana Ya Hela Ya Ppf Maana Ppf Mkataba Hatuja Katatisha Bado. Hv Inawezekana?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa wajasiliamali wadogo.mashine mpya zimeingia.wahi mapema .mawasiliano zaidi 0754 645253
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom