Unakaribishwa kuhudhuria semina kubwa na ya aina yake inayofanyika leo pale MUCCASA MAFIATI MBEYA MJINI.
KARIBU UPATE MAARIFA KATIKA NYANJA TATU AFYA, UJASIRIAMALI NA MAISHA YENYE FURAHA.
HAINA...
Habari zenu wadau.
Natumai mu-wazima kabisa na mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa taifa letu pendwa la Tanzania.
Kama mada husika inavyojieleza hapo juu, nahitaji msaada wenu wadau katika hii...
Nimeishi Ulaya yapata miaka 9 kwa sasa, nimefanya kazi mbalimbali mpaka mashambani kufuga na kulima, mkulima ulaya nika unavyomsikia baresa mengi na matajiri wengine bongo, asikudanganye mtu...
Habari zenu wana JF napenda kupata maelezo kuhusu faida na hasara kwa mkulima ambae atatumia mbolea ya maji aina ya SuperGro shambani kwake. Nimejaribu kuomba details za hiyo mbolea kwa wauzaji...
Wadau naomba kwa yeyote anayejua mwenendo wa soko la ndizi ngumu/mzuzu mkoani mtwara kama vile bei kwa mkungu na mahitaji yake kwa ujumla hata changamoto pia.Plani ni kutoa ndizi mbinga kwenda...
Habarini wakuu.Mimi ni mfanyakazi ila napenda sana kujituma mwenyewe.katika maandalizi ya kujituma nimeanza na ufugaji wa kuku wa kienyeji.kwa kuanza nimeanza na vifaranga ishirini sasa vina miezi...
wakuu nataka kufungua stationery maeneo ya mabibo hostel,kwa wajuzi zaidi wa biashara ya aina hii je maeneo hayo yanaweza kulipa kweli?,tayari nini photocopy machine CANON IR 3300 yenye uwezo wa...
4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni...
Habari wana JF
Naomba anaejua gharama za kutoa container la 20ft hapo Bongo anipe process
yote pamoja na charge zingine km zipo.
Container ni la nguo za mitumba.
Natanguliza heshima tele kwa wadau wote wa JF.
Jamani naomba mwenye majina ya Wataalam wa Mazingira kwa mwaka 2015 ayaweke wazi kwa manufaa ya umma.
Website (Tovuti) ya NEMC bado inaonesha majina...
Uvunaji wa asali kwenye misitu ya Urambo na Manyoni unaendelea vyema, kama unahitaji asali safi tuwasiliane . Ni asali nzuri inayoandaliwa katika mazingira ya usafi.
Mbegu za tikiti maji kwa ekari moja naweza kutumia kiasi gani?
Kilo moja ya mbegu za tikiti maji ni Tshs ngapi?
Soko la uhakika la zao la Tikiti Maji kwa Dar na Moro nitapataje? na wapi?
Gharama...
Habari ndugu wajasiriamali kupitia ufugaji wa kuku.
Nipo hapa kutaka kupata ufahamu zaidi juu ya kuku wa mayai kwa hoja zifuatazo:-
1.Nifuge kuku wapi kati ya kuku wa weusi wa Malawi au kuku...
Habari zenu wakuu, Mimi nipo Ushirombo Mkoani Geita , shida yangu ni vifaranga vya kuku wa mayai kwa ajili ya biashara na kwa matumizi ya nyumbani je ninaweza kuvipata na bei yake ikoje?
Habari wana JF. Ndoto zangu ni kumiliki Garage.
Ningependa kujua yafuatayo
1.Gharama za kuanzisha Garage.
2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje???
3.Usimamizi wa Garage upo vipi? maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.