Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wana JF. Ndoto zangu ni kumiliki Garage. Ningependa kujua yafuatayo 1.Gharama za kuanzisha Garage. 2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje??? 3.Usimamizi wa Garage upo vipi? maana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata mayai na nyama ya kware kwa bei nzuri sana Mwanza. Kwa mhitaji wa bidhaa hizi tuwalisiane. Simu: 0767 654181.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau wa kilimo hebu tuseme tunataka nini itufanyie serikali ya awamu ya tano. ni matatizo gani itutatulie na mambo gani ituboreshee? Mimi binafsi nahitaji kilio changu cha kila siku hapa chini...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wanajf, Green world International Limited Company inapenda kuwatangazia watu wote wanapenda kufanya ujasiliamali kwa kianzio cha 30000/= kama mtaji wako wa biashara na kuwa millionea wa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauza mbwa wadogo aina ya germany shepherd.....kwa yeyote atakae hitaji anipigie kwenye number yangu 0753505783
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Green World Limited Company, inapenda kuwatangazia watu wote kuwa tarehe 29/08/2015 Itaandaa seminar kubwa sana ya ujasiliamali BURE bila kiingilio chochote kile, na seminar hii itafanyika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari nauza mafuta halisi ya alizeti kwa kwa bei ya jumla kwa wale wa mbali utaletewa mzigo mpaka mlangoni kama ni mkubwa mawasiliano:0782433682
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya muda wana JF Napenda kuomba ushauri wenu juu ya hili swala hapa Nataka kulima maeneo ya dar es salaam Na kiasi Hapo juuu msaada ndugu zangu Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani ningependa kujua bei ya bero la mashati ya kichina kama linàvyojulikana kwa wafanya biashara ya mitumba kwa Dar, maana huku Songea niliko ni TZS 800,000/=.. Au kama kuna mtu analijua basi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
We prepare books of accounts, financial statements, VAT returns and business at affordable cost. call 0757 568 523 or 0674 579 575
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Wapendwa naombeni kujuzwa nahitaji kufanya biashara ya vitenge wp nitapata vitenge kwajumla bila kuchakachuliwa nina mtaji wa mil 1 nataka niwe naviuza kwenye minada, naomba kujua changamoto zaizi...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Pata container la 20ft used clothing kwa $10,000 shipping included mpk Tanzania. Unapata mabelo 220. Serious buyers ni PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninayombolea nzuri sana inayotengenezwa na wataalamu wa kilimo. Inafanya kazi zaidi ya booster. Lima mazao yoyote yale kisha tumia mbolea hii utapata faida kubwa sana. KARIBU SANA TUJENGE UCHUMI...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Nataka kununua Noah, naona naziona nyingi mjini Dar es salaam. Kwa wanaojua hesabu zake kwa hapa mjini Dar es salaam tusaidieni mawazo..
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Salamu iwe kwenu ndugu Naomba kuzwa tu kwa wale ambao wanajua eneo zuri tanga la kulima mihogo ndugu zangu Sana eneo la Tanga Jipe anayejua anijuze tafadhali Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta sehemu ya kujifunza ujasiriamali wowote.,kwa mtu aliyejiajiri katika ujasiriamali.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Heshima mbele wakuu, Mimi na marafiki zangu wawili tunataka kuanzisha kampuni na tunataka Memorandum and articles of association, Je, itatucost shilingi ngapi kwa wenye uzoefu au kama kuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta supplier wa samaki aina ya Sato na Sangara. Mimi niko DSM. If interested please nicheck by whatsapp kwa namba hii: +255769141105.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu habari.. Mimi ni mjasiriamali. Ninataka nikasome hiyo kozi hapo juu UDSM kwa manufaa yangu binafsi kama mjasiriamali. Je, kuna ajira huwa zinatoka kwa cheti cha hiyo PGDEE? Binafsi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Niko Dodoma karibu na chuo nataka kufungua saloon ya kike na msimamizi mzuri nitamleta. Nataka nipate uzoefu kwa waliofanya hii biashara ya saloon ukilinganisha na duka la cosmetics mauzo yake kwa...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom