culboy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 526
- 47
Natumai wewe kama mfugaji ulisha kutana na ugonjwa huu gomboro kuku kushusha mabawa na kukonda ya pili kideri kuku hushusha mabawa na kukonda zingatia chanjo hizi wakati wakiwa vifaranga hutaona tena ugonjwa kwako chanjo kwanza 1)newcastle baada ya siku 7(2)siku ya 14 gomboro(3)siku ya 21 Newcastle(4) siku ya 28Gomboro hutoona kuku wako wanakufa ovyo tena ukizingatia hizi chanjo mjasiriamali