nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 692
Habari wandugu natumaini mko poa,nilikuwa nataka kufungua kampuni langu,nilikuwa nahitaji mtu ambaye anaweza akanisaidia kufungua,ningependa anitajie gharama zote zinazoitajika ili kukamilisha usajili mzima wa kampuni,kwa anayefahamu anicheki iwe ni kampuni au mtu binafsi tuwasiliane!