Msaada namna ya kufungua kampuni!

nyaggad

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
1,160
692
Habari wandugu natumaini mko poa,nilikuwa nataka kufungua kampuni langu,nilikuwa nahitaji mtu ambaye anaweza akanisaidia kufungua,ningependa anitajie gharama zote zinazoitajika ili kukamilisha usajili mzima wa kampuni,kwa anayefahamu anicheki iwe ni kampuni au mtu binafsi tuwasiliane!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom