Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wana JamiiForums, Hivi majuzi account yangu ya Gmail ilifanya malipo kwenye airtel money kupitia google Play kwa app ambauo niliidownload playstore ambayo sikuwa awareness na kuchukua...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari za muda huu JF members, kwa walio wahi kupitia hii kadhia mlijinasua vipi pia naomba kujua kwa undani kwanini tunakua banned as a spam ilihali hatupo hivo sababu hasa hua ni ni asante...
1 Reactions
8 Replies
559 Views
Kuna app zaidi ya 50 zimefungiwa nchini Tanzania na benki kuu ya Tanzania ambazo zinatoaga huduma ya mikopo kwa Watanzania kwa mfumo wa kidigitali. BOT imebaini kuwepo kwa app zinazojihusisha...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii ni kushindana vizuri zaidi na iPad za Apple ambazo inatawala soko la tablet na kuongeza ufanisi kwa kuwa na OS moja ambayo inafanya kazi kote simu, tablet, laptop, tv, magari etc. Kazi hii...
0 Reactions
0 Replies
463 Views
𝗖𝗼𝗱𝗲 𝘇𝗮 𝗦𝗶𝗿𝗶 𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼 Zifahamu secret code muhimu ambazo zitakusaidia kuweza kutatua baadhi ya matatizo kwenye simu yako au ya rafiki yako ulizokuwa uzijui kabisa kama...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Kulingana na ripoti ya CDC, inaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya watu wote waliopo duniani hawapati Usingizi wa kutosha. Kutengeneza mazoea ya kulala kwa wakati kunaweza sababisha kuboresha...
4 Reactions
5 Replies
661 Views
Wakuu msaada tafadhali, Hivi hapa Spotify haina uwezo wa kudownload ngoma ukiwa offline u play kama audio mak? Hii imekaaje wakuu?
0 Reactions
6 Replies
663 Views
Habari wana JF, Samahani nataka kufahamu nikilipia mtandao wa twitter x kupata bluetick napatiwa baada ya muda gani na je nikitaka ku cancel narudishiwa pesa au utaratibu unakuaje. Ahsante
1 Reactions
6 Replies
586 Views
𝗭𝘂𝗶𝗮 𝗸𝘂𝗿𝗲𝗸𝗼𝗱𝗶𝘄𝗮 𝘃𝗶𝗱𝗲𝗼 𝘂𝗸𝗶𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗽𝗲𝗻𝘇𝗶 𝘄𝗮𝗸𝗼 Kumekua na matukio ya kushangaza kila siku ulimwenguni kuhusu watu kupostiwa video zao za ngono mtandaoni utakuta mume, mke au mpenzi mlikua kwenye...
2 Reactions
22 Replies
950 Views
Habari wadau. Kuna hii simu yangu Aina ya Samsung, nahitaji msaada namna ninaweza kuondoa hii option ya message nibakiwe na moja. Ninayohitaji kuondoa ni hiyo niliyoweka alama ya X Asante
2 Reactions
14 Replies
880 Views
Hakikisha unapakua Application kutumia 'Play Store' na 'App Store' Kupakua 'Application' nje ya Play Store na App Store: - Kunaweza kusababisha "virus" kwenye vifaa vyako kama Kompyuta na simu...
2 Reactions
3 Replies
974 Views
Mtu unanunua flagship ya pesa nyingi yenye technology ya kioo kikalii badala ya kuendelea kuenjoy AMOLED au OLED mixer 2200 nits ulivyokua zwazwa unaenda kuweka giza juu yake sijui mnaficha nini...
0 Reactions
6 Replies
561 Views
Wajuzi wa mambo naomba msaada wenu Simu zipi ni nzuri kati ya Xiaomi, OPPO na VIVO. Tusiangalie bei tuangalie vigezo vya ubora.
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Kampuni ya Austin imetengeneza choo cha kisasa chenye kamera📸 kwa ajili ya afya yako 😲. Unaweza sema wamechanganyikiwa awa jamaa au lah lakini ndo uwalisia sasa. Teknolojia hiyo mpya inaitwa...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Hello JF, Nina vitu vingi vya kushare na ninyi pia mengi ya kuongea na ninyi wateja au wadau wote kwa ujumla juu ya kununua hivi vitu vya kieletroniki kama vile Tv, Home threater, pasi, na vitu...
0 Reactions
1 Replies
488 Views
PIXEL 3AXL 130,000 PIXEL 3XL 140,000 PIXEL 3 130,000 PIXEL 3A 120,000 PIXEL 4 4G 300,000 PIXEL 4A 5G 290,000 PIXEL 4XL 180,000 PIXEL 5 400,000 PIXEL 5A 330,000 PIXEL 6 230,000 PIXEL 6A 300,000...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
PASSWORD (NYWILA) IMARA NI MUHIMU ILI KULINDA TAARIFA ZAKO KATIKA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI NA PROGRAMU TUMIZI Password au Nywila imara na ya kipekee ni muhimu ili kulinda taarifa zako na programu...
1 Reactions
6 Replies
576 Views
Yani umejipinda kununua simu kali halafu uanze tena kutumia 4g wakati eneo lina 5g ya kutosha, Ahh wapi aisee !! miyeyusho hio !! Ni tahadhari ya mapema kabisa naitoa, kama unataka kununua google...
1 Reactions
1 Replies
819 Views
Habari ndugu zangu. Natumia iMac yenye iOS Monterey. Nauliza nawezaje kupata software za bure? Na je naweza kudownload software kutoka torrent?
0 Reactions
3 Replies
462 Views
Back
Top Bottom