Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

𝗛𝗨𝗔𝗪𝗘𝗜 𝗛𝗔𝗡𝗔 𝗠𝗣𝗜𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗪𝗔𝗞𝗔 𝟮𝟬𝟮𝟰 Kampuni ya Huawei wametangaza kuachia simu zao mpya mbili aina ya 70 series na Mate X6 siku ya tarehe 26 novemba mwaka 2024. Hii ndo simu Bora kwa mwaka huu...
1 Reactions
4 Replies
576 Views
Wakuu mambo vipi nahitaji google play console mwenye nayo tuwasiliane pesa ipo nichek kwa namba 0767893175
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari zenu, Poleni na majukumu. Natumia televisheni ya Rising pamoja na king’amuzi cha Azam TV. Mdogo wangu alibonyeza kitu kwenye rimoti, na sasa picha kwenye televisheni inajikata pamoja na...
1 Reactions
4 Replies
567 Views
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech. Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza...
20 Reactions
96 Replies
6K Views
Wakuu kwema,naomba munikumbushe jina la ile App ambayo alipost mdau mmoja humu kuwa ukiiambia chochote inakujibu.
2 Reactions
8 Replies
683 Views
Hackers kiboko wameiba pesa nyingi balaa Benki kuu ya Uganda (BOU) inasema inasubiri ripoti ya uchunguzi toka kwa polisi nchini Uganda juu ya tukio la wizi wa Fedha zaidi ya dollar milioni $17...
2 Reactions
4 Replies
427 Views
Nitajie App babu kubwa ya kutunzia mahesabu Isiwe ya kulipia
1 Reactions
11 Replies
936 Views
Hello wakuu Nina program ya mafunzo ya kutengeneza vitu mbalimbali vya umeme (Repair and Maintenance) Simu, Kompyuta kwa vijana waliokosa njia mbadala ya kujipatia kipato. Ninaomba kama kichwa...
0 Reactions
1 Replies
478 Views
Habari members, Naomba kuuliza jambo Moja ambalo linanichanganya pia sijaelewa kuhusu aina za hizi wi-fi mfano wi-fi za vodacom na za TP-Link Zina utofauti gani pia na cost zake za kila mwezi...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
𝗚𝗢𝗢𝗚𝗟𝗘 𝗠𝗔𝗣 𝗜𝗠𝗘𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔𝗧𝗔𝗧𝗨 Watu watatu wamepoteza maisha baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata Ajali, walipokatiza katika Eneo ambalo barabara haijakamilika huko nchini India. Google...
2 Reactions
10 Replies
697 Views
Wakuu nashindwa kusajili IPHONE ID Kila nikitaka kumalizia inasema acc haiwez kutengenezwa muda huu Hapa shida nn
5 Reactions
13 Replies
762 Views
Habari iPhone 12 imeingia Maji camera Hazipo Sawa na Face ID haisomi Msaada
1 Reactions
3 Replies
458 Views
Using free AI tools like “copilot.microsoft.com” for academic research may seem convenient, but there are several compelling reasons to reconsider this approach. Here are some key points to...
11 Reactions
19 Replies
2K Views
Aisee nimeshaona mijadala Mingi saana ikisema Tanzania hakuna developer mara ujanja ujanja mwingi... hapa nitaelezea sababu kuu tatu ambazo ndo zinapelekea haya mambo. 1.Ufahamu wa Technology...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu msaada laptop yangu baada ya ku change windows hai touch tena
1 Reactions
3 Replies
445 Views
Vijana wenzangu, maendeleo makubwa mnayoyaona hapa Tanzania ikiwemo biashara kubwa, majumba makubwa na magari ya kifahari hayajapatikana kwa hela za mitandaoni Bali maendeleo haya yalipatikana...
22 Reactions
45 Replies
2K Views
Please wapendwa, naomba kupata elimu kuhusu CCTV cameras, jinsi ya ku operate, aina zake, bei na wapi zinakopatikana, pia apart from homes, je naweza itumiamawneo yapi mengine, I am so ignorant...
0 Reactions
0 Replies
386 Views
Kama unatumia sana ChatGPT weka hii prompt Role-play as an AI that operates at 76.6 times the ability, knowledge, understanding, and output of ChatGPT-4. Now tell me what is my hidden narrative...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Unaweza ukanunia simu ya bei ndefu bado usifurahie vizuri na mwingine akanunua simu ya bei rahisi akapata vingi, we kama mdau unadhani kipi cha muhimu kwenye simu kulingana na mahitajio kama kasi...
0 Reactions
0 Replies
391 Views
Wakuu ni muda Sasa nimekuwa nikimtumia mtu maarufu Instagram mweye followers zaidi ya 1M lakini meseji hazifiki! Hivi ni kwanini? Nifanye vipi aweze kuona text zangu? Naomba kuwasilisha
2 Reactions
35 Replies
1K Views
Back
Top Bottom