Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wana Tech wa JF? Naomba mnisaidie namna ya kufanya sms recovery kwenye smartphone yangu Natumia samsung galaxy A05, Kuna wakati nakuta sms muhimu sana zimefutwa hata kwenye recycle bin...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wana sayansi toka nchi ya kenya wameweza kugundua vijidudu wadogo wadogo ambavyo vinaweza kuharibu polystyrene, plastiki yoyote kwa usaidizi wa bakteria wa tumboni. Madaktari hao wamegundua...
2 Reactions
8 Replies
575 Views
Wasalaam wana tech, Kama tunavyojua uelewa wa computer bado sio mkubwa sana kwa watumiaji wengi wa kawaida, mambo ya virus & malware hayatiliwi mkazo sana na watumiaji, mtumiaji anachojali...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
𝗡𝗼𝗸𝗶𝗮 𝟯𝟮𝟭𝟬 𝗶𝗺𝗲𝗿𝘂𝗱𝗶 𝗧𝗲𝗻𝗮 𝗯𝗵𝗮𝗻𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟰 𝗷𝗲 𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗶𝗻𝘂𝗻𝘂𝗮 ?? Unakumbuka Ile simu original ya Nokia 3210 iliyoachiwa mwaka 1999. Hatimaye imerudi Tena kwa mara nyingine mwaka 2024. Simu hii...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nipo kwenye last steps kukamilisha hiyo system ambayo inaweza fanya hivi- 1-create users with different roles and permissions 2-add stock 3-sell stock 4-truck proft and usage 5-view and export...
3 Reactions
10 Replies
621 Views
5G Technology: Teknolojia ya 5G ni kizazi cha tano cha teknolojia ya mawasiliano ya simu, ikiahidi kuleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano ya simu na huduma za data. Kabla ya 5G, teknolojia za...
5 Reactions
2 Replies
642 Views
Kununua kompyuta iwe laptop au desktop huwachanganya watu wengi hasa wasiokuwa na uzoefu wa vifaa hivi maana ukifika dukani utakuta za kila namna na miundo tofauti, nimeona niandike makala hii...
77 Reactions
162 Replies
49K Views
MKBHD kila siku ziendazo mbele anazidi kuyatimba. Juzi alikua ana review camera ya DJI Action 5 Pro akaonekana anaendesha Porsche zaidi ya 90 mph kwenye kibao cha School zone 35mph. Mashabiki...
3 Reactions
6 Replies
562 Views
Baada ya usalama wa taifa Canada kuifanyia tathmini App ya TikTok inayomilikiwa na kampuni ya kichina ya ByteDance wameiamuru kampuni hiyo kufunga ofisi zake Canada mara moja, app yenyewe...
6 Reactions
12 Replies
757 Views
Microsoft wameachia feature mpya kwa watumiaji wa windows 10 na windows 11 kuweza kuhamisha files lolote toka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta bila waya, Unatumia mfumo wa wireless tu kuweza...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada wa Best Telegram Book Bots 🤖, kidgo nachemka apa
1 Reactions
1 Replies
595 Views
Mwana YouTube wa zamani Jake Paul na bondia mashughuli Mike Tyson wamekua wakitishiana kitambo kuzichapa kuonyeshana mbabe nani toka July's 20 mwaka huu 2024 lakini pambano lilighailishwa...
2 Reactions
3 Replies
438 Views
𝗚𝗮𝗿𝗶 𝗹𝗮 𝗧𝗲𝘀𝗹𝗮 𝗹𝗶𝗺𝗲𝘂𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝘄𝗮𝗻𝗻𝗲 😔 Watu wa nne wenye umri kati ya miaka 26 mpaka 32 waliweza kupoteza maisha kwenye jiji la Toronto nchi ya Italian Baada ya gari aina ya Tesla kuwaka moto baada...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Kama title inavosema wakuu Nataka kuwa developer mnaweza kunsaidia sehemu ya kuanzia Kama kuna website au group Fulani mnaweza kushare nami. Mungu awabariki🙏
2 Reactions
4 Replies
511 Views
Habari wana JF, Naomba kufahamishwa vizuri kuhusu hii kozi ya Bachelor of science in information system inayotolewa UDOM pale CIVE Ina deal na vitu gani hasa? Na je koding ipo sana kwenye hii...
1 Reactions
5 Replies
836 Views
Megabits vs. Megabytes: Understanding Your Internet Speed Ever wondered why your gigabit internet doesn't download games at a thousand megabytes per second? The difference between megabits (Mb)...
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Apple Iko karibu kuweza kutambulisha product yao mpya sokoni ambayo inaitwa wall- mounted display imeundwa kwa ajili ya kuweza ku control nyumba yako. Kifaa icho kimepewa jina la code name J490...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Wakuu habari, laptop yangu nikiwasha inaandika Operating system not found! TATIZO linaweza kuwa lipi na jinsi gani ya kufix Hilo TATIZO? NAOMBA KUWASILISHA
0 Reactions
7 Replies
542 Views
Kampuni ya meta imetoa ripoti inayoonyesha Kuna akaunti za watumiaji wengi wa Facebook ambao ni marehemu wamekufa ila bado akaunti zipo na zinafanya Kazi. Ripoti iyo inaonyesha zaidi ya watu...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Kuna kazi nimepata moja ya majukumu yangu ni kutuma sms ya shukrani kwa wateja wote kila siku waliokuja kupata huduma kwenye kampuni yetu, je app gani itanisaidia wakuu? Thanks in advance.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom