Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Teknolojia inakwenda Kasi sana hivi unajua unaweza chaji simu yako kwa kutumia Kadi 😂 !!! Najua una shangaa sana lakini ndo uwalisia. Kuna kitu kinaitwa chaji Kadi (chargeCard) ni chaji...
2 Reactions
6 Replies
950 Views
wakuu kwema nataka ninunue simu hizi used sasa naomba kujua maana ya maneno haya nayokuw nasikia . FULL DISPLAY SMALL DISPLAY
1 Reactions
4 Replies
772 Views
Unlimited internet ni ni internet unatumia bila kikomo, inapimwa kwa speed sio gb, speed yangu naweza kudownload file la GB 1 ndani ya dakika 6.
8 Reactions
31 Replies
3K Views
Hello JF members! Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na...
5 Reactions
58 Replies
6K Views
Wanajamvi salaams Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kujua ubora na udhaifu wa TV za Hisense ninawaza nikanunue. Nawakaribisha pia kwa ushauri wa TV bora Natanguliza shukrani
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Bitsoup Bitsoup is a growing favorite amongst P2P downloaders. As the trend towards private torrent sharing continues, you will need to signup and join as a member to participate in the Bitsoup...
1 Reactions
1K Replies
473K Views
Jinsi ya kufungua akaunti ya Youtube, 1. Anza kwa Jisajili kwenye akaunti ya Google (Kama hauna) Ili kuweza kuangalia maudhui ya video kwenye YouTube, kutenegeneza akaunti ya YouTube, kushare...
8 Reactions
42 Replies
6K Views
Habari, natafuta sehemu hapa Dar wanapofanya Ditect-to-Garment Printing. Nina designs zangu natamani sana ningeziprint kwenye tees (merch). Natanguliza shukrani.
1 Reactions
13 Replies
944 Views
I have viewed a certain article from a certain website in Tanzania , and I was very interested with the piece of content , unfortunately the piece of content was very short. And I would like to...
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Wakuu humu ndani kwema. Naomba kuuliza kwa yeyote ambaye anafahamu simu nzuri ya kiswaswadu yenye uwezo wa kukaa laini tatu.
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Jinsi TikTok Inavyolipa na Kuajiri Watu TikTok imekuwa jukwaa maarufu duniani kote, sio tu kwa burudani bali pia kama chanzo cha mapato kwa watu wengi. Kwa vijana na wakubwa, TikTok inatoa fursa...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
Natafuta mahali wanapo print DTG
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Kim Kyung-Ah Kampuni ya Samsung inayojihusisha kutengeneza vifaa mbalimbali vya kieletroniki, kwa mara ya kwanza toka kuanzishwa miaka 86 iliyopita Wamemuweka mkurugenzi mtendaji mwanamke kutoka...
1 Reactions
1 Replies
492 Views
Shikamoo fundi. Kama wewe ni fundi simu utakuwa unaelewa nini nahitaji. Hapa nahitaji msaada wa kuwrite data (PAC system file (firmware. Na sio kutoa password wala ku Format. Je ni programu gani...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanaJukwaa! Nawapa salamu za Jumapili hii ya tarehe 20/10/2024 ambayo nayo inaanza kuyoyoma taratibu. Shida iliyonileta ni kupata website nzuri ambayo ina series na movies za Hollywood...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wadau za jioni, nataka kujua kati ya GB Whatsapp na FM Whatsapp ipi ni bora kuliko mwenzake? Maana nashindwa kujua ipi bora nataka nihame Whatsapp ya kawaida. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
34 Replies
11K Views
Msaada wataalam... Kwanini nikiblock namba fulani ya Simu Ila nikija kutazama kwenye setting kipengele Cha block sms and block call Huwa naziona sms zote nilizochat na hiyo namba hata kama...
0 Reactions
3 Replies
531 Views
Sijawahi ona simu yoyote ya Google pixel au Aquos au brand nyingi za kimarekani au kijapani zikisoma 5G hapa bongo Kama kuna mtu anatumia simu tajwa hapo na inapanda hadi kuweka nembo ya 5G au...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Wakuu nimenunua pocket internet router ya universal,nimeweka simcard ya voda com.pale kwenye setting nimeweka hivi NAME:vodacom APN:internet USER:... PASSWORD. AUTH: None niki save bado internet...
0 Reactions
1 Replies
916 Views
IT wengi wamejiajiri kwenye kupiga window, kuingiza muvi, ku burn cd, n.k. baadhi wamejiongeza kuwa mafundi simu, mafundi laptops, n.k. maendeleo yao kiuchumi huwa ni ya kawaida. Kuna huu mchongo...
2 Reactions
6 Replies
636 Views
Back
Top Bottom