💭 Nchini china imezindua Trekta mpya ya kisasa inayojiendesha yenyewe ambayo imeunganishwa na Akili bandia yenye mtandao wa 5G bila kusahau satellite ndani yake.
⚡ Ndani yake Kuna mfumo wa...
Wakuu,
Naomba mwenye kujua Application ambayo naweza kushushia video YouTube.
Nilikua natumia Application kama Snaptube, Videoder na Vidmate. Ila sasa hivi naona zimekua restricted...
Habari zenu wanajamvi.! Nipo Dar nahitaji line ya Safaricom ili niweze kufungua account paypal nipokee malipo mtandaoni.
Kuna ambaye anauza hapa dar au wakala au namna yoyote ambayo mtu anafahamu...
Salamu wakuu!
Leo nimeona nishee nanyi hii kitu,
Fanya hv andika hii namba kwenye simu Yako +1 800-242-8478 Kisha Isave ujuavyo,
Kisha nenda whatsup itafute, ukishaipata kwenye sehemu ya...
The field of cybersecurity is fast growing and demand is skyrocketing, there are tons of cybersecurity tools out there that address such areas. In both training and and tools.
Online tools are...
As we approach 2025, we stand on the cusp of a transformative era in artificial intelligence. The emergence of AI agents promises to fundamentally alter our relationship with technology, evolving...
Title: "Artificial Intelligence Index Report 2024" by The AI Index Steering Committee, Institute for Human-Centered AI, Stanford University
Year of Publication: 2024
The Artificial Intelligence...
“Tech Doesn’t Have to Be Complicated. Here’s Proof.” Uzi huu unalenga watu wanaogopa kununua vifaa vya kielektroniki kwa sababu ya kutokuelewa vizuri, na unaleta uaminifu na ufahamu.
Tech Doesn’t...
Kwa bajeti ya 200,000 hadi 300,000 naweza kupata kamera gani nzuri kwa ajili ya short films na clips.
Nipo mtwara.
Kwa sasa natumia simu kufanya hivyo vyote.
Timu ya Watafiti kutoka chuo kikuu Cha kusini - mashariki nchini China, ikiongozwa na Mtaalam Profesa Zhou Yang, imeunda muundo mpya wa seruji hydrogel (cement) ambayo Ina uwezo wa kuzalisha na...
Naomba mtu anieleweshe kuhusu hili, tena kwa ukali na ikiwezekana kunifokea kama mtoto mdog naweza mwelewa labda
Tofauti kati ya Google na chrome ni nini??
Anthropic has introduced a groundbreaking paper that suggests large language models (LLMs) might not utilize “chain of thought” reasoning in the way we previously believed. Chain of thought, a...
You probably clicked on this post because you want a quick way to make money, and I hate to break it to you.
But you will never live in a world where that is possible.
There will never, ever...
Eti wakuu Nina kama mwezi hivi ninanunua vichwa vya chaji na cable karibia laki imenitoka nikibadilisha kichwa hasa cha oraiomo ndo naona vinapatikana sana madukani vinafanya kazi baada ya week...
Off course vpn za kutumia internet bure zina faida zake ikiwemo kuokoa gharama na nikiri niliwahi kuwa mdau lakini kuna kipindi nilichoka aisee, ilibidi nizihame moja kwa moja.
-siku yoyote...
Naelewa kuwa kampuni ikipitia new Board inakuwa na mabadiliko ila hili swala la kupush notification hizo za "Ongea Zaidi" "Data Zaidi" kila siku message za "Nunua kifurushi cha INTANETI cha Tsh...
Habari wakuu
Logitech g29 bei yake inakaribia kua mara mbili ya hii pxn v10 maana kwenye box la logitech g29 kuna wheel na pedal tu ukitata kirungu inabidi uongeze kama 250k lakini pxn v10 ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.