Habari waungwana
Naomba kujua watoa huduma ya Fiber Dar es salaam, kama utakuwa na mawasiliano yao itakuwa poa ukiweka ikibidi na bei za huduma zao pia.
Naomba kuwasilisha.
Wapendwa nataka kujua EPSON TOLEO LA NGAPU NDO NZURI KWA AJILI YA KAZI ZIFUATAZO:
Printing
Copy
Scanning
Kusafisha picha za simu
Kusafisha passport size
Kutoa copy ya rangi
Kwasasa sina...
Maelezo kuhusu taarifa
Author,Yusuph Mazimu
Nafasi,
Akiripoti kutokaBBC Dar es Salaam
26 Mei 2025
"Ndani ya nchi yetu Mungu ametubariki uraniamu (urania). Ni vyema kusimamia ule mradi wetu kule...
Walengwa ni hasa wale tunaonunua laptops zilizotumika lakini pia vyuo vinakaribia kufungua ni kipindi ambacho laptops zinanunulika sana.
Unaponunua Pc ni rahisi kukagua Ram, Hard Disk, Processor...
Habari Wanabodi!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama wiki tatu zilizopita niliunganishiwa umeme na TANESCO, ila kumekuwa na tatizo la low voltage hasa kuanzia saa moja usiku hadi saa tano au...
Kuna kitu kimekuwa kikinichanganya sana wakati wa kutuma email. To:hapa ni mahali pa kujaza email add ya yule unayemwandikia. Cc: tangu zamani ni sehemu ya kujaza add ya mtumd email. Sasa ,Bcc...
Utaamua ununue Headphones au Gari ๐!!
Sio kwamba tunazungumzi Gari jamani!! Hapana Ni Headphones ๐ง tu nzuri za Hermes headphones ya ngozi iliyounganishwa kwa mikono yenye muundo maridadi wa...
Toleo jipya la iOS 26 inaweza kuja na feature mpya ambayo inatumia Teknolojia ya Apple intelligence yenye kukuonyesha ni asilmia ngapi imebaki kwenye Simu yako ukiwa umechomeka chaji ili kujaa...
Leo nilikuwa napitia uzi flani humu ndani wa kero ya kutambua mitandao kwa namba za simu.
Nikaona nifanye kiproject simple cha kutatua tatizo hili, nikaandika orodha ya namba pamoja na mitandao...
Katika Maendeleo ya Teknolojia Tanzania sasa tutaona Mabadiliko mbalimbali kwenye sekta hiyo ambayo baadhi ya nchi mbalimbali ulimwenguni zimepiga hatua kubwa kwenye uwekezaji wa kutumia Roboti...
Kuna toleo jipya la Samsung One UI 8 beta imeachiwa rasmi lakini ni Beta sio official kwa watu wote isipokuwa watakaotaka kuweka huo mfumo mpya kwenye simu zao.
Toleo ilo jipya linakuja likiwa na...
Kuna toleo jipya la Samsung One UI 8 beta imeachiwa rasmi lakini ni Beta sio official kwa watu wote isipokuwa watakaotaka kuweka huo mfumo mpya kwenye simu zao.
Toleo ilo jipya linakuja likiwa na...
Huwaga ana ni block kisha ana ni un block mwenyewe.
This time around naingia WhatsApp kuna jina nilikuwa na search herufi ya mwanzo ya jina lake inafanana na ya huyu mtu, so likaja jina lake na...
Katika ulimwengu wa kidijitali, biashara nyingi Tanzania zinaanza kuelewa nguvu ya matangazo ya Facebook na Instagram. Lakini si matangazo yote yanayoleta matokeo. Ili matangazo yako yafanye...
Ile dhana kwamba ubora wa picha sio megapixels nazani unakwenda kufa sasa badala ya Apple kunyoosha mikono kwa Samsung na Vivo๐.
Apple iko kwenye Majaribio ya kuweza kuweka resolution kubwa ya...
Kampuni ya Samsung imeanza kutoa update ya mfumo wa One ui 7 ambao una muundo mpya wa android version 15 kwa Watumiaji wa simu za Galaxy A53.
Wamiliki wa Galaxy A53 toka Korea walianza kupokea...