Habarin wakuu samahani kwa mtu mwenye screen ya brackbelly 9860 au fundi mwenye uwezo wa kuunganisha mkanda anisaidie maana imekatika mkanda
Natanguliza shukrani
Tutafutane in
0755161970
Hackers wanaoitwa Shadow Blockers wameachia virus wa ku hack computer zote zenye windows XP na kuiba data zako.
Hiyo yote ni kutokana na Microsoft waliacha kutoa updates za kuilinda hiyo Windows...
Habari
Hawa jamaa wamefanikiwa kuziathiri nchi zaidi ya 150 na sasa hivi nchi nyingi zipo kwenye disaster recovery mode. Je kuna fununu au taarifa rasmi kutoka Tanzania kuwa ni Taasisi au...
Mahakama kuu uingereza imepitisha maombi ya ligi kuu ya uingereza ya kuzuia mbinu za kutizama soka kupitia vyanzo vya internet wa mfumo maarufu wa kodi set-top boxers,wadau hii imekaaje!
Mambo vip wadau w JF. Kuna hivi vitu viwili hii RFID na hii mamba 666, hii RFID inasemekana huwa ina ekwa ktk mwili wa binadam eti then anakuwa anaweza aka nunua bidhaa kupitia hii RFID, alaf pia...
Habari JF,
Taarifa ambazo hazija thibitishwa ni kwamba ile search engine pendwa ya torrentz.eu imefungiwa pia.
Kwa sasa ukiingia katika hiyo link hutoweza kusearch kama zamani, utaletewa ujumbe...
Apple iPhone 7 to reportedly retain the 3.5mm headphone jack and boast dual-SIM functionality.
“New leaked images suggest that the iPhone 7 will be the first from Apple to sport dual-SIM slots”...
Zipo taarifa za kutoka TCRA kuwa ifikapo June simu nyingi zitazimwa ,ambazo kwa viwango vyake sio halisi.
Kwa utafiti wangu huku mtaani kutakuwepo kilio ambacho na malalamiko huenda kushinda cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.