Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Tatizo la SHG03 – Simu Haioneshi Network Baada ya Kutumika na Mtu Mwingine Maelezo: Habari wenzangu, Nina tatizo na simu yangu ya Sharp Aquos SHG03. Nilikuwa nikiitumia kwa Vodacom/Tigo, kisha...
0 Reactions
1 Replies
323 Views
Technical Report: Large-Scale Display Systems for Exhibitions and Church Services Executive Summary Large-scale display systems used in outdoor exhibitions and church services primarily utilize...
0 Reactions
4 Replies
452 Views
Jamani,Tujadili matatizo na suluhisho la vifaa vya umeme kama vle tv,feni,redio n.k
1 Reactions
15 Replies
8K Views
Nina Aiwa smart tv ambayo haidisplay chochote ukiiwasha. Nahitaji fundi aje aiangalie.
1 Reactions
5 Replies
391 Views
Anayefahamu kuhusu Voda Kasi internet kifurushi cha 50,000 unlimited. Na kifurushi cha Halotel cha 50,000 unlimited. Naomba anielze na kipi bora..
5 Reactions
15 Replies
2K Views
HOW TO FIND PROFITABLE BLOG NICHES INTRODUCTION starting a blog is exciting, but choosing the right niche is what determines your success. a profitable niche helps you attract traffic and make...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Vijana waliohitimu dip na degree za computer almaarufu "ma IT" wapo wengi sana mtaani bila ramani ya kueleweka. Nashangaa sana kwasababu kuna mitandao mingi sana ya kupiga dola online, sehemu...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
🗯️ Simu ya Google pixel 9 pro ni moja wapo ya simu Nzuri Toka Google kwa matoleo ya flagship smartphone, Ikiendeshwa na Teknolojia kubwa ya AI, nzuri kwa wale wapenzi wa photography bila kusahau...
0 Reactions
1 Replies
391 Views
Katika dunia ya sasa, Artificial Intelligence (AI) imeleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya teknolojia, hasa kwenye coding na software engineering. Kwa kutumia AI, tunaweza sasa kuandika...
12 Reactions
91 Replies
3K Views
Kiufupi tu gpt5 haiko vizuri kama gpt4o, gpt4o ilikuwa imenyooka sana kwa zile "human-like responses" ila hii gpt5 ni kama overworked secretary 😄 Wasiposhtuka watapoteza umiliki walionao sokoni.
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Mfumo wa GPS (Global Positioning System) ni huduma ya bure kwa watumiaji wa kawaida duniani, lakini uendeshaji na matengenezo yake si bure kabisa. Mfumo huu unamilikiwa na serikali ya Marekani...
6 Reactions
15 Replies
747 Views
Habari wadau Naweza wapi ku sajili domain name ya .co.tz na inagharimu bei gani? Asanteni
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Mkenya aitwaye Mike Luswety mmiliki wa id ya Mediapix hapa JF ameniingiza chakike. Msijaribu huyu kijana ni Hatari sana. 1. Hakutaka nifahamu ukweli wa kilichomo control panel. Yeye amesajili...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
August 13, 2025 by Sylvia Chanak Bringing together the world’s brightest minds and the latest accelerated computing technology leads to powerful breakthroughs that help tackle some of the...
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Habari, Me ni mwanafunzi wa DIT ktk fani ya Electrical Engineering, kwa sasa Nipo week ya kwnz ya Field hapa Azam(Tazara/Dsm)... ila changamoto ninayo iona apa hakuna zile kazi nikaongeza...
1 Reactions
1 Replies
565 Views
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script? Kama ndiyo wapo wapi...
14 Reactions
130 Replies
7K Views
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama. Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee...
12 Reactions
104 Replies
264K Views
Unataka kuanza kuagiza bidhaa kutoka China lakini hujui wapi pa kuanzia? Alibaba.com ni moja ya mitandao mikubwa duniani ya wauzaji wa jumla ambapo unaweza kuagiza bidhaa kwa bei nafuu...
2 Reactions
2 Replies
888 Views
wakuu nilitaka mnifahamishe tofauti ya mtandao wa ndani ni upi? na mtandao wa umma ni upi?
0 Reactions
3 Replies
283 Views
Instagram Inaweza Kushare Mahali Ulipo na Followers Wako Wote Katika zama hizi za mitandao ya kijamii, taarifa binafsi zimekuwa bidhaa yenye thamani kubwa. Hata bila ruhusa ya wazi, programu...
1 Reactions
3 Replies
545 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…