Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hivi inawezekana kuview Browsers kuingia kwenye Browsers mbili kwenye PC mfano Google na FireFox bila zenyewe kuonekana kwenye Screen kwa pale Chini? Yani I mean inawekana mtu kuview Browser...
0 Reactions
9 Replies
633 Views
Wakuu habari za Jioni? Nina simu ya Sumsung S8+ huwa inakawaida ya kuzima mziki baada ya light ya desplay kuwa out (off). Au hata ikiwa connected kwenye blottooth. Natanguliza shukran.
0 Reactions
10 Replies
708 Views
Habari JF, Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta. Hapa shida ni nini?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
List hii ya simu 10 bora kwa camera ni kwa mujibu wa DXOMARK. Bila ya kupoteza muda tuanze na namba 1 HUAWEI MATE 40 PRO Huawei Mate 40 Pro is officially announced on October 22, 2020. The...
3 Reactions
43 Replies
16K Views
Habari naweza tumia internal HDD ya laptop kwenye desktop kama extenal HDD? Nina dell optilex 7020 core i7 je naweza kuongeza internal HDD 2TB na isilete shida maana nimesikia hdd kubwa zinaua cpu
0 Reactions
9 Replies
790 Views
Wakuu nina LGk51 haisomi lain za tanzania kwa yeyote ambae anaweza kufrash isome lain za Tanzania imetoka ujerumani wakuu
0 Reactions
0 Replies
292 Views
Naomba kujua Kuna tofauti ya ulaji wa unit Kwa mita za zamani na mpya za rea?nazungumzia matumizi ya unit kwisha ni sawa.kwamba zote mbili nimeeka unit 5 matumizi ni sawa.uishaji unalingana?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimebahatika kuona nyuzi mbalimbali zikiponda simu zinazotumia chipset za MTK na wakisifia simu zinazotumia chipset za snapdragon au Qualcomm Naomba mnijuze...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
katika C, ni ipi njia halali ya kuangazia jumla-kama printf ambayo itachapisha tu wakati alama ya DEBUG imefafanuliwa? #ifdef DEBUG #define DEBUG_PRINT(???) ??? #else #define DEBUG_PRINT(???) ...
0 Reactions
0 Replies
534 Views
US Democrats have urged the FTC (Federal Trade Commission) to crack down on deceptive practices in the Virtual Private Network (VPN) industry, The Verge has reported. In an open letter, Rep. Anna...
1 Reactions
1 Replies
746 Views
Wandugu nilikuwa natumia Samsung yangu kama hotspot bila shida. Tatizo lilitokea baada ya ku update software ya Samsung. Sasa kila nikijaribu kufanya connection, napata error kwenye laptop kuwa...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Kwanza nianze kwa kuweka wazi tu mimi sijasomea kompyuta kabisa wala sina ujuzi wowote maalumu wa hiyo kitu (hata introduction) Pamoja na hayo, nimekuwa na interest nayo sana kompyuta kiasi...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwasababu ya muda ambao watu hutumia mtandaoni, ni muhimu kuelewa uhusiano kati ya Afya ya Akili na Teknolojia, kwani mbalimbali Tafiti zinaonesha matumizi ya Intaneti kupita kiasi yana madhara...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
simu yangu kunaa baadhi ya text haisomi inaaleta alama hizi,nimejaribu ku updade lakini tatizo bado ni lilelile,nifanyeje Simu samsung galaxy j7 prime.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimebadili simu, Ila magrup yote ya whatsap hayapo. Kwa anayejua, naomba msaada wa kuelekezwa namna yakuyarudisha.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimebadili simu,ila magrup yote ya whatsap hayapo.Kwa anayejua,naomba msaada wa kuelekezwa namna yakuyarudisha.
0 Reactions
0 Replies
698 Views
(NB: UKITUMIA DAKIKA 7 KUTULIA NA KUSOMA NAKALA HII MPAKA MWISHO, UTAKUWA UMEONDOKA NA JAMBO KUBWA SANA LA KUBADILI BIASHARA YAKO MTANDAONI) Moja ya sababu kubwa website nyingi za biashara...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Incredible Technology: How to Bring Extinct Animals Back to Life Like Dislike Edit content preferences Done Tanya Lewis, Staff...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Wakuu. Naomba mwenye Adobe Acrobat DC au sehemu ambayo naweza dowload sihitaji Adobe Acrobat X Pro
1 Reactions
1 Replies
993 Views
Binafsi mara kwa mara huwa napenda kutumia laprop kitandani, sasa unakuta latptop inakuwa yamoto si mchezo kwenye upande wa feni na hii huwa naona kabisa ni tatizo kwa laptop. Tunawezaje kutatua...
1 Reactions
3 Replies
849 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…