hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,448
Kwanza nianze kwa kuweka wazi tu mimi sijasomea kompyuta kabisa wala sina ujuzi wowote maalumu wa hiyo kitu (hata introduction)
Pamoja na hayo, nimekuwa na interest nayo sana kompyuta kiasi kwamba hapa nilipo wananiaminia kwenye maswala hayo wakidhani labda mimi ni mtaalamu (kuhusu simu na kompyuta)
Sasa juzi kuna template nimerushiwa kwenye WhatsApp niingize data fulani kila nikitaka kuedit kwa simu haitaki inasema sheet is protected basi nikampigia mtumaji anipe password akasema hakuna password kuna wenzangu wengine imekubali kwenye vifaa vyao wanapiga kazi.
Nikahangaika hapo wee mara ikakubali kuedit lakini inakuwa inaficha huoni ile sehemu mpaka ukishajaza ndo una uwezo wa kuchungulia (kiufupi utaedit kwa kuingiza taarifa zako hizo ila kwa tabu sana-hupewi uwanja mpana wa kuona unachoshughulika nacho)
Nikasema labda nitumie pc nayo ndo kabisa ikakataa pamoja na kufuata maelekezo yake inayodisplay.
Mpaka hapo nikacomfirm nimekwama kwahiyo naombeni msaada!
Pamoja na hayo, nimekuwa na interest nayo sana kompyuta kiasi kwamba hapa nilipo wananiaminia kwenye maswala hayo wakidhani labda mimi ni mtaalamu (kuhusu simu na kompyuta)
Sasa juzi kuna template nimerushiwa kwenye WhatsApp niingize data fulani kila nikitaka kuedit kwa simu haitaki inasema sheet is protected basi nikampigia mtumaji anipe password akasema hakuna password kuna wenzangu wengine imekubali kwenye vifaa vyao wanapiga kazi.
Nikahangaika hapo wee mara ikakubali kuedit lakini inakuwa inaficha huoni ile sehemu mpaka ukishajaza ndo una uwezo wa kuchungulia (kiufupi utaedit kwa kuingiza taarifa zako hizo ila kwa tabu sana-hupewi uwanja mpana wa kuona unachoshughulika nacho)
Nikasema labda nitumie pc nayo ndo kabisa ikakataa pamoja na kufuata maelekezo yake inayodisplay.
Mpaka hapo nikacomfirm nimekwama kwahiyo naombeni msaada!