Wandugu nilikuwa natumia Samsung yangu kama hotspot bila shida. Tatizo lilitokea baada ya ku update software ya Samsung.
Sasa kila nikijaribu kufanya connection, napata error kwenye laptop kuwa "Limited access " . Namejaribu ku Google kupata ufumbuzi nimeshindwa.
Naomba msaada toka kwa maguru hapa.
Sasa kila nikijaribu kufanya connection, napata error kwenye laptop kuwa "Limited access " . Namejaribu ku Google kupata ufumbuzi nimeshindwa.
Naomba msaada toka kwa maguru hapa.