monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 720
- 943
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimebahatika kuona nyuzi mbalimbali zikiponda simu zinazotumia chipset za MTK na wakisifia simu zinazotumia chipset za snapdragon au Qualcomm
Naomba mnijuze hizi chipset zina kazi gani kwenye Android na kwanini zinatofautiana ubora?
Naomba mnijuze hizi chipset zina kazi gani kwenye Android na kwanini zinatofautiana ubora?