Wajuvi nahitaji kufahamu nini maana ya chipset kwenye Android

monotheist

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
720
943
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimebahatika kuona nyuzi mbalimbali zikiponda simu zinazotumia chipset za MTK na wakisifia simu zinazotumia chipset za snapdragon au Qualcomm

Naomba mnijuze hizi chipset zina kazi gani kwenye Android na kwanini zinatofautiana ubora?
 
Chipset = set of chips, au System on Chip (SoC)

Chukulia kama mlundikano wa chips(ICs) tofauti ( ie: CPU+GPU+ROM+RAM, na controllers zao, pamoja na 'buses' kwenda kwenye 'peripherals' za nje, kama vile I/Os, Bluetooth chip, WiFi chip LCD/LED chips na kadhalika

Kazi ya chipset ni mjumuisho wa kazi za sub-chips zilizomo ndani yake
 
Dooh umeniacha mkuu
chipset = set of chips, au System on Chip (SoC)

Chukulia kama mlundikano wa chips(ICs) tofauti ( ie: CPU+GPU+ROM+RAM, na controllers zao, pamoja na 'buses' kwenda kwenye 'peripherals' za nje, kama vile I/Os, Bluetooth chip, WiFi chip LCD/LED chips na kadhalika

kazi ya chipset ni mjumuisho wa kazi za sub-chips zilizomo ndani yake
 
chipset = set of chips, au System on Chip (SoC)

Chukulia kama mlundikano wa chips(ICs) tofauti ( ie: CPU+GPU+ROM+RAM, na controllers zao, pamoja na 'buses' kwenda kwenye 'peripherals' za nje, kama vile I/Os, Bluetooth chip, WiFi chip LCD/LED chips na kadhalika

kazi ya chipset ni mjumuisho wa kazi za sub-chips zilizomo ndani yake
dronedrake

Duh! Ahsante lakini naona kama umefafanua kitaalamu zaidi!
 
Dooh umeniacha mkuu
Kiufupi zaidi chipset = CPU + GPU + ROM + RAM + controllers zao + 'buses'

Controllers huwezesha izo RAM/ROM kuwasiliana na cpu/gpu, buses ni channels zinazounga 'vifaa vya nje ya chipset' kama vile chip za bluetooth, WiFi, chip za LCD/LED(kwa ajili ya kioo), chip za network ( kwa ajili ya mawasiliano ), nk
 
kiufupi zaidi chipset = CPU + GPU + ROM + RAM + controllers zao + 'buses'

controllers huwezesha izo RAM/ROM kuwasiliana na cpu/gpu, buses ni channels zinazounga 'vifaa vya nje ya chipset' kama vile chip za bluetooth, WiFi, chip za LCD/LED(kwa ajili ya kioo), chip za network ( kwa ajili ya mawasiliano ), nk
Ahaa nimeelewa kiasi (naanza kupata mwanga). Je kwanini zinatofautiana ubora na majina?
 
Ahaa nimeelewa kiasi (naanza kupata mwanga). Je kwanini zinatofautiana ubora na majina?

Ubora unaanzia tangu kwenye raw materials (mf: Silicon) za kutengeneza izo ICs ndogo za ndani(cpu,rom,ram, etc)

ni kama gari ni mjumuisho wa matairi, chesis, engine, bodi, nk, so ubora wa gari ni mjumuisho wa ubora wa izo 'components' zake ndogo ndogo
 
chipset = set of chips, au System on Chip (SoC)

Chukulia kama mlundikano wa chips(ICs) tofauti ( ie: CPU+GPU+ROM+RAM, na controllers zao, pamoja na 'buses' kwenda kwenye 'peripherals' za nje, kama vile I/Os, Bluetooth chip, WiFi chip LCD/LED chips na kadhalika

kazi ya chipset ni mjumuisho wa kazi za sub-chips zilizomo ndani yake
Kama sio IT basi ni CS au Computer Engineer

Umenikumbusha mbali sana... Input Processing then we give output information whereby human being can understand
 
MTK ni kifupi cha MediaTek.

Ni kama alivyoeleza hapo juu na unapoongelea Chips hapo unaanisha system yaan neno system linamaana ya kundi au mkusanyika wa vitu kadhaa ambavyo vinawasiliana ili kufanikisha jambo fulani.

Sasa katika hizi simu nazo hivyo hivyo chips hutofautiana kwa kila kampuni la simu.

MTK hawa wapo sana kwenye simu za tecno. SPD hawa kwenye simu za itel na zinginene, Q hawa nadhan sijui kwenye Samsung n.k sasa hizi simu zinatofautiana kwa Chips zake.

Simu za tecno, samsung, itel, iphone, huawei, n.k hawa kila kampuni linatumia chips tofauti japo kuna kampuni linaweza kununua material kwa MTK na kuweka kwenye simu za itel. Hapo juu nimesema kuwa baadhi ya itel nyingi zinatumia SPD chip na hizi kuflash kwake unaweza ukatumia software kadhaa kama vile RD4(Research Download version 4) n.k

Pia hizi Samsung nae kuna software zake hutumika kuflash so kila kampuni huwa na ubora wake wa chips hizo
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimebahatika kuona nyuzi mbalimbali zikiponda simu zinazotumia chipset za MTK na wakisifia simu zinazotumia chipset za snapdragon au Qualcomm

Naomba mnijuze hizi chipset zina kazi gani kwenye Android na kwanini zinatofautiana ubora?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimebahatika kuona nyuzi mbalimbali zikiponda simu zinazotumia chipset za MTK na wakisifia simu zinazotumia chipset za snapdragon au Qualcomm

Naomba mnijuze hizi chipset zina kazi gani kwenye Android na kwanini zinatofautiana ubora?
Chipset ni mkusanyiko au muunganiko wa chip tofauti tofauti zinazoshirikiana kufanya kazi pamoja.

RAM .. ipo kwenye chip yake
CPU.. ipo kwenye chip yake
GPU...ipo kwenye chip yake
I/O , BIOS..ipo kwenye chip yake


Sasa ikiwa kama hizo chip zote hapo ni za kampuni ya MEDIATEK basi tunasema Chipset ni MTK. na kama ni Za Qualcomm basi vivyo hivyo itakuwa ni Qualcomm Chipset.

Pia inawezekana hizo chip zote (Ram, Cpu,Gpu etc) zikawa zimewekwa (packed) kwenye chip moja na hiyo chip moja kubwa ikawa ni MTK, itaitwa MTK Chipset.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimebahatika kuona nyuzi mbalimbali zikiponda simu zinazotumia chipset za MTK na wakisifia simu zinazotumia chipset za snapdragon au Qualcomm

Naomba mnijuze hizi chipset zina kazi gani kwenye Android na kwanini zinatofautiana ubora?
Mkuu wadau wengi wameshadefine hio chipset (soc) labda mimi niongezee kwanini zinatofautiana,


Kabla ya kwenda huko kwanza ufahamu Arm na x86, hizi ni Architecture mbili tofauti, x86 hii ndio inatumika kwenye computer kama desktop na laptop, ukisikia i3 ama i5 ama i7 zile zinakuwa ni x86, kwenye simu zinazotumika sana ni Arm, hizi zinakuwa designed na kampuni inaitwa Arm holdings ya huko Uingereza halafu ndio makampuni kama qualcomm na mediatek wanaweka kwenye soc zao, zilivyokuwa designed hizi za arm(processor) zinakuwa na core kubwa na ndogo, core kubwa inakuwa na nguvu ila inakula zaidi chaji ya simu, na core ndogo yenyewe haina nguvu sana ila inakula chaji kidogo. pia hawa Arm wanaruhusu makampuni mengine kubadili design yao na kutengeneza custom ama semi custom chip. hivyo hapa tunapata utofauti wa aina mbili

custom design
-utumiaji wa custom chip sasa hivi tumebakiwa na makampuni matatu Apple na A series zake, Nvidia na Tegra zake pamoja na Samsung na mongoose zake, ila kuna habari kwamba samsung anajitoa hivyo huwenda wakabaki wawili tu. qualcomm wenyewe wanatumia semi custom, na kampuni kama mediatek hawafanyi modification. ila ikumbukwe kitu kimoja chipset za bei rahisi huwa hawamodify kabisa mfano exynos iliopo kwenye galaxy A10 core zake hazijakuwa modified kama mongoose inatumia tu core za kawaida kama mediatek ama qualcomm za bei rahisi.

core zilizotumika
kama juu tulivyosema utofauti mwengine ni hizo core kuna core kubwa na ndogo (big little), makampuni yote yanazitumia, mfano wa core kubwa ni kama cortex A73/A72/A75/A76 na mfano wa core ndogo ni A7/A53/A55. tuangalie mfano wa mpangilio wa core kwenye Note 10

Octa-core (2x2.73 GHz Mongoose M4 & 2x2.4 GHz Cortex-A75 & 4x1.9 GHz Cortex-A55)

then tuangalie na simu low end kama tecno spark

Quad-core 1.3 GHz Cortex-A7

hivyo unaona hapo kwenye note 10 kuna cluster kama tatu hivi moja ni custom core za mongoose, mbili core kubwa za cortex A75 na tatu core ndogo za cortex A55, ila kwenye hio spark kuna core ndogo tu za cortex A57 basi vitu kama hivi vinatofautisha chipset.

mambo mengine yanayoweza kutofautisha ni kama,

manufacturing process

kampuni kama qualcomm, Apple ama mediatek wakimaliza kudesign hizo chipset zao kuna mahala wanapeleka zinaenda kutengenezwa kwa wingi, chukulia mfano wa mchoraji na mmiliki wa printer, mchoraji akimaliza kuchora anapeleka kwa mwenye printer/photocopy machine akatoe picha nyingi zaidi. makampuni makubwa yanayofanya hizi manufacturing ni Intel, samsung na TSMC (taiwan semiconductor), na kila kampuni inaupgrade mitambo yake kufanya manufacturing za kisasa zaidi, kitu kikubwa zaidi kinachowatenganisha ni udogo wa transistor ambao hupimwa kwa nanometre (nm), jinsi transistor inavyokuwa ndogo inamaana kwenye die moja unaweza kuweka transistor nyingi zaidi na kuongeza perfomance, pamoja na kupunguza ulaji umeme. manufacturing process ya kisasa sasa hivi ni 7nm, ipo pia ya 8nm, 10nm, 12nm, 14nm etc hivyo unaweza hapa pia kuzitofautisha.

gpu
vitu kama games, animation za simu ama apps mbalimbali zinatumia gpu, kuna gpu zinazotoka kwa arm wenyewe kama Mali series, kuna gpu za qualcomm kama Adreno, kuna Gpu za imagination kama powervr. hizi gpu zinakuwa responsible kurun technology kama open gl na vulkan ambazo developer wanazitumia wanapotengeza vitu kama games. hapa Qualcomm ana advantage kubwa compare na wenzake Gpu zake za adreno wanatoa drivers mbalimbali zinazofanya simu zao kuwa all around vizuri kwenye gpu, na kuna baadhi ya vitu exclusively vinakuwa developed kwa ajili ya adreno tu mfano emulator mpya ya ps2 kwenye android.

modem
pia hizi chipset zinakuwa na modem ndani inayohandle vitu kama kupiga simu na kupokea na internet tech kama 3g na 4g zinakuwa na modem, kwa modem za kisasa kwenye simu vitu kama 3g na 2g unakuwa covered kote ila kwenye 4g utofauti unaanza kuuona, kuna simu highend ama midrange zinakuwa na support karibia band zote za 4g, popote unapokwenda simu inashika 4g na hata mtandao mpya ukitoa 4g una uhakika wa kuwa covered, mfano mzuri halotel wametoa 4g ndugu zetu wengi wanaotumia simu za kichina ama simu low end hawapati hii 4g kutokana na modem za simu zao.

pia kuna mambo mengine kama wifi, bluetooth, ram technologies, memory bus etc vyote vinachangia kwenye kutofautisha hizo soc.

ila jambo la muhimu zaidi usiangalie tu jina snapdragon, exynos ama mediatek, inaweza ikawa snapdragon lakini ikawa low end sana na ikapitwa na mediatek vile vile, cha muhimu angalia tech husika iliotengeneza hio soc ili kufanya uamuzi sahihi, tumia website kama notebookcheck ama anandtech kupata deep reviews za soc mbalimbali.
 
Mkuu wadau wengi wameshadefine hio chipset (soc) labda mimi niongezee kwanini zinatofautiana,


Kabla ya kwenda huko kwanza ufahamu Arm na x86, hizi ni Architecture mbili tofauti, x86 hii ndio inatumika kwenye computer kama desktop na laptop, ukisikia i3 ama i5 ama i7 zile zinakuwa ni x86, kwenye simu zinazotumika sana ni Arm, hizi zinakuwa designed na kampuni inaitwa Arm holdings ya huko Uingereza halafu ndio makampuni kama qualcomm na mediatek wanaweka kwenye soc zao, zilivyokuwa designed hizi za arm(processor) zinakuwa na core kubwa na ndogo, core kubwa inakuwa na nguvu ila inakula zaidi chaji ya simu, na core ndogo yenyewe haina nguvu sana ila inakula chaji kidogo. pia hawa Arm wanaruhusu makampuni mengine kubadili design yao na kutengeneza custom ama semi custom chip. hivyo hapa tunapata utofauti wa aina mbili

custom design
-utumiaji wa custom chip sasa hivi tumebakiwa na makampuni matatu Apple na A series zake, Nvidia na Tegra zake pamoja na Samsung na mongoose zake, ila kuna habari kwamba samsung anajitoa hivyo huwenda wakabaki wawili tu. qualcomm wenyewe wanatumia semi custom, na kampuni kama mediatek hawafanyi modification. ila ikumbukwe kitu kimoja chipset za bei rahisi huwa hawamodify kabisa mfano exynos iliopo kwenye galaxy A10 core zake hazijakuwa modified kama mongoose inatumia tu core za kawaida kama mediatek ama qualcomm za bei rahisi.

core zilizotumika
kama juu tulivyosema utofauti mwengine ni hizo core kuna core kubwa na ndogo (big little), makampuni yote yanazitumia, mfano wa core kubwa ni kama cortex A73/A72/A75/A76 na mfano wa core ndogo ni A7/A53/A55. tuangalie mfano wa mpangilio wa core kwenye Note 10

Octa-core (2x2.73 GHz Mongoose M4 & 2x2.4 GHz Cortex-A75 & 4x1.9 GHz Cortex-A55)

then tuangalie na simu low end kama tecno spark

Quad-core 1.3 GHz Cortex-A7

hivyo unaona hapo kwenye note 10 kuna cluster kama tatu hivi moja ni custom core za mongoose, mbili core kubwa za cortex A75 na tatu core ndogo za cortex A55, ila kwenye hio spark kuna core ndogo tu za cortex A57 basi vitu kama hivi vinatofautisha chipset.

mambo mengine yanayoweza kutofautisha ni kama,

manufacturing process

kampuni kama qualcomm, Apple ama mediatek wakimaliza kudesign hizo chipset zao kuna mahala wanapeleka zinaenda kutengenezwa kwa wingi, chukulia mfano wa mchoraji na mmiliki wa printer, mchoraji akimaliza kuchora anapeleka kwa mwenye printer/photocopy machine akatoe picha nyingi zaidi. makampuni makubwa yanayofanya hizi manufacturing ni Intel, samsung na TSMC (taiwan semiconductor), na kila kampuni inaupgrade mitambo yake kufanya manufacturing za kisasa zaidi, kitu kikubwa zaidi kinachowatenganisha ni udogo wa transistor ambao hupimwa kwa nanometre (nm), jinsi transistor inavyokuwa ndogo inamaana kwenye die moja unaweza kuweka transistor nyingi zaidi na kuongeza perfomance, pamoja na kupunguza ulaji umeme. manufacturing process ya kisasa sasa hivi ni 7nm, ipo pia ya 8nm, 10nm, 12nm, 14nm etc hivyo unaweza hapa pia kuzitofautisha.

gpu
vitu kama games, animation za simu ama apps mbalimbali zinatumia gpu, kuna gpu zinazotoka kwa arm wenyewe kama Mali series, kuna gpu za qualcomm kama Adreno, kuna Gpu za imagination kama powervr. hizi gpu zinakuwa responsible kurun technology kama open gl na vulkan ambazo developer wanazitumia wanapotengeza vitu kama games. hapa Qualcomm ana advantage kubwa compare na wenzake Gpu zake za adreno wanatoa drivers mbalimbali zinazofanya simu zao kuwa all around vizuri kwenye gpu, na kuna baadhi ya vitu exclusively vinakuwa developed kwa ajili ya adreno tu mfano emulator mpya ya ps2 kwenye android.

modem
pia hizi chipset zinakuwa na modem ndani inayohandle vitu kama kupiga simu na kupokea na internet tech kama 3g na 4g zinakuwa na modem, kwa modem za kisasa kwenye simu vitu kama 3g na 2g unakuwa covered kote ila kwenye 4g utofauti unaanza kuuona, kuna simu highend ama midrange zinakuwa na support karibia band zote za 4g, popote unapokwenda simu inashika 4g na hata mtandao mpya ukitoa 4g una uhakika wa kuwa covered, mfano mzuri halotel wametoa 4g ndugu zetu wengi wanaotumia simu za kichina ama simu low end hawapati hii 4g kutokana na modem za simu zao.

pia kuna mambo mengine kama wifi, bluetooth, ram technologies, memory bus etc vyote vinachangia kwenye kutofautisha hizo soc.

ila jambo la muhimu zaidi usiangalie tu jina snapdragon, exynos ama mediatek, inaweza ikawa snapdragon lakini ikawa low end sana na ikapitwa na mediatek vile vile, cha muhimu angalia tech husika iliotengeneza hio soc ili kufanya uamuzi sahihi, tumia website kama notebookcheck ama anandtech kupata deep reviews za soc mbalimbali.

Uishi maisha marefu chief mkwawa
 
Mkuu wadau wengi wameshadefine hio chipset (soc) labda mimi niongezee kwanini zinatofautiana,


Kabla ya kwenda huko kwanza ufahamu Arm na x86, hizi ni Architecture mbili tofauti, x86 hii ndio inatumika kwenye computer kama desktop na laptop, ukisikia i3 ama i5 ama i7 zile zinakuwa ni x86, kwenye simu zinazotumika sana ni Arm, hizi zinakuwa designed na kampuni inaitwa Arm holdings ya huko Uingereza halafu ndio makampuni kama qualcomm na mediatek wanaweka kwenye soc zao, zilivyokuwa designed hizi za arm(processor) zinakuwa na core kubwa na ndogo, core kubwa inakuwa na nguvu ila inakula zaidi chaji ya simu, na core ndogo yenyewe haina nguvu sana ila inakula chaji kidogo. pia hawa Arm wanaruhusu makampuni mengine kubadili design yao na kutengeneza custom ama semi custom chip. hivyo hapa tunapata utofauti wa aina mbili

custom design
-utumiaji wa custom chip sasa hivi tumebakiwa na makampuni matatu Apple na A series zake, Nvidia na Tegra zake pamoja na Samsung na mongoose zake, ila kuna habari kwamba samsung anajitoa hivyo huwenda wakabaki wawili tu. qualcomm wenyewe wanatumia semi custom, na kampuni kama mediatek hawafanyi modification. ila ikumbukwe kitu kimoja chipset za bei rahisi huwa hawamodify kabisa mfano exynos iliopo kwenye galaxy A10 core zake hazijakuwa modified kama mongoose inatumia tu core za kawaida kama mediatek ama qualcomm za bei rahisi.

core zilizotumika
kama juu tulivyosema utofauti mwengine ni hizo core kuna core kubwa na ndogo (big little), makampuni yote yanazitumia, mfano wa core kubwa ni kama cortex A73/A72/A75/A76 na mfano wa core ndogo ni A7/A53/A55. tuangalie mfano wa mpangilio wa core kwenye Note 10

Octa-core (2x2.73 GHz Mongoose M4 & 2x2.4 GHz Cortex-A75 & 4x1.9 GHz Cortex-A55)

then tuangalie na simu low end kama tecno spark

Quad-core 1.3 GHz Cortex-A7

hivyo unaona hapo kwenye note 10 kuna cluster kama tatu hivi moja ni custom core za mongoose, mbili core kubwa za cortex A75 na tatu core ndogo za cortex A55, ila kwenye hio spark kuna core ndogo tu za cortex A57 basi vitu kama hivi vinatofautisha chipset.

mambo mengine yanayoweza kutofautisha ni kama,

manufacturing process

kampuni kama qualcomm, Apple ama mediatek wakimaliza kudesign hizo chipset zao kuna mahala wanapeleka zinaenda kutengenezwa kwa wingi, chukulia mfano wa mchoraji na mmiliki wa printer, mchoraji akimaliza kuchora anapeleka kwa mwenye printer/photocopy machine akatoe picha nyingi zaidi. makampuni makubwa yanayofanya hizi manufacturing ni Intel, samsung na TSMC (taiwan semiconductor), na kila kampuni inaupgrade mitambo yake kufanya manufacturing za kisasa zaidi, kitu kikubwa zaidi kinachowatenganisha ni udogo wa transistor ambao hupimwa kwa nanometre (nm), jinsi transistor inavyokuwa ndogo inamaana kwenye die moja unaweza kuweka transistor nyingi zaidi na kuongeza perfomance, pamoja na kupunguza ulaji umeme. manufacturing process ya kisasa sasa hivi ni 7nm, ipo pia ya 8nm, 10nm, 12nm, 14nm etc hivyo unaweza hapa pia kuzitofautisha.

gpu
vitu kama games, animation za simu ama apps mbalimbali zinatumia gpu, kuna gpu zinazotoka kwa arm wenyewe kama Mali series, kuna gpu za qualcomm kama Adreno, kuna Gpu za imagination kama powervr. hizi gpu zinakuwa responsible kurun technology kama open gl na vulkan ambazo developer wanazitumia wanapotengeza vitu kama games. hapa Qualcomm ana advantage kubwa compare na wenzake Gpu zake za adreno wanatoa drivers mbalimbali zinazofanya simu zao kuwa all around vizuri kwenye gpu, na kuna baadhi ya vitu exclusively vinakuwa developed kwa ajili ya adreno tu mfano emulator mpya ya ps2 kwenye android.

modem
pia hizi chipset zinakuwa na modem ndani inayohandle vitu kama kupiga simu na kupokea na internet tech kama 3g na 4g zinakuwa na modem, kwa modem za kisasa kwenye simu vitu kama 3g na 2g unakuwa covered kote ila kwenye 4g utofauti unaanza kuuona, kuna simu highend ama midrange zinakuwa na support karibia band zote za 4g, popote unapokwenda simu inashika 4g na hata mtandao mpya ukitoa 4g una uhakika wa kuwa covered, mfano mzuri halotel wametoa 4g ndugu zetu wengi wanaotumia simu za kichina ama simu low end hawapati hii 4g kutokana na modem za simu zao.

pia kuna mambo mengine kama wifi, bluetooth, ram technologies, memory bus etc vyote vinachangia kwenye kutofautisha hizo soc.

ila jambo la muhimu zaidi usiangalie tu jina snapdragon, exynos ama mediatek, inaweza ikawa snapdragon lakini ikawa low end sana na ikapitwa na mediatek vile vile, cha muhimu angalia tech husika iliotengeneza hio soc ili kufanya uamuzi sahihi, tumia website kama notebookcheck ama anandtech kupata deep reviews za soc mbalimbali.
Ahsante chief
 
Hata Mimi wa HKL apa nime kumanya vizuri kabisaaaa kula LIKE mkuu
Mkuu wadau wengi wameshadefine hio chipset (soc) labda mimi niongezee kwanini zinatofautiana,


Kabla ya kwenda huko kwanza ufahamu Arm na x86, hizi ni Architecture mbili tofauti, x86 hii ndio inatumika kwenye computer kama desktop na laptop, ukisikia i3 ama i5 ama i7 zile zinakuwa ni x86, kwenye simu zinazotumika sana ni Arm, hizi zinakuwa designed na kampuni inaitwa Arm holdings ya huko Uingereza halafu ndio makampuni kama qualcomm na mediatek wanaweka kwenye soc zao, zilivyokuwa designed hizi za arm(processor) zinakuwa na core kubwa na ndogo, core kubwa inakuwa na nguvu ila inakula zaidi chaji ya simu, na core ndogo yenyewe haina nguvu sana ila inakula chaji kidogo. pia hawa Arm wanaruhusu makampuni mengine kubadili design yao na kutengeneza custom ama semi custom chip. hivyo hapa tunapata utofauti wa aina mbili

custom design
-utumiaji wa custom chip sasa hivi tumebakiwa na makampuni matatu Apple na A series zake, Nvidia na Tegra zake pamoja na Samsung na mongoose zake, ila kuna habari kwamba samsung anajitoa hivyo huwenda wakabaki wawili tu. qualcomm wenyewe wanatumia semi custom, na kampuni kama mediatek hawafanyi modification. ila ikumbukwe kitu kimoja chipset za bei rahisi huwa hawamodify kabisa mfano exynos iliopo kwenye galaxy A10 core zake hazijakuwa modified kama mongoose inatumia tu core za kawaida kama mediatek ama qualcomm za bei rahisi.

core zilizotumika
kama juu tulivyosema utofauti mwengine ni hizo core kuna core kubwa na ndogo (big little), makampuni yote yanazitumia, mfano wa core kubwa ni kama cortex A73/A72/A75/A76 na mfano wa core ndogo ni A7/A53/A55. tuangalie mfano wa mpangilio wa core kwenye Note 10

Octa-core (2x2.73 GHz Mongoose M4 & 2x2.4 GHz Cortex-A75 & 4x1.9 GHz Cortex-A55)

then tuangalie na simu low end kama tecno spark

Quad-core 1.3 GHz Cortex-A7

hivyo unaona hapo kwenye note 10 kuna cluster kama tatu hivi moja ni custom core za mongoose, mbili core kubwa za cortex A75 na tatu core ndogo za cortex A55, ila kwenye hio spark kuna core ndogo tu za cortex A57 basi vitu kama hivi vinatofautisha chipset.

mambo mengine yanayoweza kutofautisha ni kama,

manufacturing process

kampuni kama qualcomm, Apple ama mediatek wakimaliza kudesign hizo chipset zao kuna mahala wanapeleka zinaenda kutengenezwa kwa wingi, chukulia mfano wa mchoraji na mmiliki wa printer, mchoraji akimaliza kuchora anapeleka kwa mwenye printer/photocopy machine akatoe picha nyingi zaidi. makampuni makubwa yanayofanya hizi manufacturing ni Intel, samsung na TSMC (taiwan semiconductor), na kila kampuni inaupgrade mitambo yake kufanya manufacturing za kisasa zaidi, kitu kikubwa zaidi kinachowatenganisha ni udogo wa transistor ambao hupimwa kwa nanometre (nm), jinsi transistor inavyokuwa ndogo inamaana kwenye die moja unaweza kuweka transistor nyingi zaidi na kuongeza perfomance, pamoja na kupunguza ulaji umeme. manufacturing process ya kisasa sasa hivi ni 7nm, ipo pia ya 8nm, 10nm, 12nm, 14nm etc hivyo unaweza hapa pia kuzitofautisha.

gpu
vitu kama games, animation za simu ama apps mbalimbali zinatumia gpu, kuna gpu zinazotoka kwa arm wenyewe kama Mali series, kuna gpu za qualcomm kama Adreno, kuna Gpu za imagination kama powervr. hizi gpu zinakuwa responsible kurun technology kama open gl na vulkan ambazo developer wanazitumia wanapotengeza vitu kama games. hapa Qualcomm ana advantage kubwa compare na wenzake Gpu zake za adreno wanatoa drivers mbalimbali zinazofanya simu zao kuwa all around vizuri kwenye gpu, na kuna baadhi ya vitu exclusively vinakuwa developed kwa ajili ya adreno tu mfano emulator mpya ya ps2 kwenye android.

modem
pia hizi chipset zinakuwa na modem ndani inayohandle vitu kama kupiga simu na kupokea na internet tech kama 3g na 4g zinakuwa na modem, kwa modem za kisasa kwenye simu vitu kama 3g na 2g unakuwa covered kote ila kwenye 4g utofauti unaanza kuuona, kuna simu highend ama midrange zinakuwa na support karibia band zote za 4g, popote unapokwenda simu inashika 4g na hata mtandao mpya ukitoa 4g una uhakika wa kuwa covered, mfano mzuri halotel wametoa 4g ndugu zetu wengi wanaotumia simu za kichina ama simu low end hawapati hii 4g kutokana na modem za simu zao.

pia kuna mambo mengine kama wifi, bluetooth, ram technologies, memory bus etc vyote vinachangia kwenye kutofautisha hizo soc.

ila jambo la muhimu zaidi usiangalie tu jina snapdragon, exynos ama mediatek, inaweza ikawa snapdragon lakini ikawa low end sana na ikapitwa na mediatek vile vile, cha muhimu angalia tech husika iliotengeneza hio soc ili kufanya uamuzi sahihi, tumia website kama notebookcheck ama anandtech kupata deep reviews za soc mbalimbali.
 
ubora unaanzia tangu kwenye raw materials (mf: Silicon) za kuetengeneza izo ICs ndogo za ndani(cpu,rom,ram, etc)

ni kama gari ni mjumuisho wa matairi, chesis, engine, bodi, nk, so ubora wa gari ni mjumuisho wa ubora wa izo 'components' zake ndogo ndogo
E bwana eee! Jibu zuri sana hili...
 
MTK ni kifupi cha MediaTek.

Ni kama alivyoeleza hapo juu na unapoongelea Chips hapo unaanisha system yaan neno system linamaana ya kundi au mkusanyika wa vitu kadhaa ambavyo vinawasiliana ili kufanikisha jambo fulani.

Sasa katika hizi simu nazo hivyo hivyo chips hutofautiana kwa kila kampuni la simu.

MTK hawa wapo sana kwenye simu za tecno. SPD hawa kwenye simu za itel na zinginene, Q hawa nadhan sijui kwenye Samsung n.k sasa hizi simu zinatofautiana kwa Chips zake.

Simu za tecno, samsung, itel, iphone, huawei, n.k hawa kila kampuni linatumia chips tofauti japo kuna kampuni linaweza kununua material kwa MTK na kuweka kwenye simu za itel. Hapo juu nimesema kuwa baadhi ya itel nyingi zinatumia SPD chip na hizi kuflash kwake unaweza ukatumia software kadhaa kama vile RD4(Research Download version 4) n.k

Pia hizi Samsung nae kuna software zake hutumika kuflash so kila kampuni huwa na ubora wake wa chips hizo
Chinese mobile manufacturer giants kama HUAWEI,SAMSUNG, ONEPLUS,XIAOMI,OPPO n.k na kampuni nyinginezo zinzotengeneza simu za ubora wa hali ya juu mashariki ya mbali wananunua Chips kutoka MAREKANI kwa kuwa za U.S.A ni bora zaidi...
 
Mkuu wadau wengi wameshadefine hio chipset (soc) labda mimi niongezee kwanini zinatofautiana,


Kabla ya kwenda huko kwanza ufahamu Arm na x86, hizi ni Architecture mbili tofauti, x86 hii ndio inatumika kwenye computer kama desktop na laptop, ukisikia i3 ama i5 ama i7 zile zinakuwa ni x86, kwenye simu zinazotumika sana ni Arm, hizi zinakuwa designed na kampuni inaitwa Arm holdings ya huko Uingereza halafu ndio makampuni kama qualcomm na mediatek wanaweka kwenye soc zao, zilivyokuwa designed hizi za arm(processor) zinakuwa na core kubwa na ndogo, core kubwa inakuwa na nguvu ila inakula zaidi chaji ya simu, na core ndogo yenyewe haina nguvu sana ila inakula chaji kidogo. pia hawa Arm wanaruhusu makampuni mengine kubadili design yao na kutengeneza custom ama semi custom chip. hivyo hapa tunapata utofauti wa aina mbili

custom design
-utumiaji wa custom chip sasa hivi tumebakiwa na makampuni matatu Apple na A series zake, Nvidia na Tegra zake pamoja na Samsung na mongoose zake, ila kuna habari kwamba samsung anajitoa hivyo huwenda wakabaki wawili tu. qualcomm wenyewe wanatumia semi custom, na kampuni kama mediatek hawafanyi modification. ila ikumbukwe kitu kimoja chipset za bei rahisi huwa hawamodify kabisa mfano exynos iliopo kwenye galaxy A10 core zake hazijakuwa modified kama mongoose inatumia tu core za kawaida kama mediatek ama qualcomm za bei rahisi.

core zilizotumika
kama juu tulivyosema utofauti mwengine ni hizo core kuna core kubwa na ndogo (big little), makampuni yote yanazitumia, mfano wa core kubwa ni kama cortex A73/A72/A75/A76 na mfano wa core ndogo ni A7/A53/A55. tuangalie mfano wa mpangilio wa core kwenye Note 10

Octa-core (2x2.73 GHz Mongoose M4 & 2x2.4 GHz Cortex-A75 & 4x1.9 GHz Cortex-A55)

then tuangalie na simu low end kama tecno spark

Quad-core 1.3 GHz Cortex-A7

hivyo unaona hapo kwenye note 10 kuna cluster kama tatu hivi moja ni custom core za mongoose, mbili core kubwa za cortex A75 na tatu core ndogo za cortex A55, ila kwenye hio spark kuna core ndogo tu za cortex A57 basi vitu kama hivi vinatofautisha chipset.

mambo mengine yanayoweza kutofautisha ni kama,

manufacturing process

kampuni kama qualcomm, Apple ama mediatek wakimaliza kudesign hizo chipset zao kuna mahala wanapeleka zinaenda kutengenezwa kwa wingi, chukulia mfano wa mchoraji na mmiliki wa printer, mchoraji akimaliza kuchora anapeleka kwa mwenye printer/photocopy machine akatoe picha nyingi zaidi. makampuni makubwa yanayofanya hizi manufacturing ni Intel, samsung na TSMC (taiwan semiconductor), na kila kampuni inaupgrade mitambo yake kufanya manufacturing za kisasa zaidi, kitu kikubwa zaidi kinachowatenganisha ni udogo wa transistor ambao hupimwa kwa nanometre (nm), jinsi transistor inavyokuwa ndogo inamaana kwenye die moja unaweza kuweka transistor nyingi zaidi na kuongeza perfomance, pamoja na kupunguza ulaji umeme. manufacturing process ya kisasa sasa hivi ni 7nm, ipo pia ya 8nm, 10nm, 12nm, 14nm etc hivyo unaweza hapa pia kuzitofautisha.

gpu
vitu kama games, animation za simu ama apps mbalimbali zinatumia gpu, kuna gpu zinazotoka kwa arm wenyewe kama Mali series, kuna gpu za qualcomm kama Adreno, kuna Gpu za imagination kama powervr. hizi gpu zinakuwa responsible kurun technology kama open gl na vulkan ambazo developer wanazitumia wanapotengeza vitu kama games. hapa Qualcomm ana advantage kubwa compare na wenzake Gpu zake za adreno wanatoa drivers mbalimbali zinazofanya simu zao kuwa all around vizuri kwenye gpu, na kuna baadhi ya vitu exclusively vinakuwa developed kwa ajili ya adreno tu mfano emulator mpya ya ps2 kwenye android.

modem
pia hizi chipset zinakuwa na modem ndani inayohandle vitu kama kupiga simu na kupokea na internet tech kama 3g na 4g zinakuwa na modem, kwa modem za kisasa kwenye simu vitu kama 3g na 2g unakuwa covered kote ila kwenye 4g utofauti unaanza kuuona, kuna simu highend ama midrange zinakuwa na support karibia band zote za 4g, popote unapokwenda simu inashika 4g na hata mtandao mpya ukitoa 4g una uhakika wa kuwa covered, mfano mzuri halotel wametoa 4g ndugu zetu wengi wanaotumia simu za kichina ama simu low end hawapati hii 4g kutokana na modem za simu zao.

pia kuna mambo mengine kama wifi, bluetooth, ram technologies, memory bus etc vyote vinachangia kwenye kutofautisha hizo soc.

ila jambo la muhimu zaidi usiangalie tu jina snapdragon, exynos ama mediatek, inaweza ikawa snapdragon lakini ikawa low end sana na ikapitwa na mediatek vile vile, cha muhimu angalia tech husika iliotengeneza hio soc ili kufanya uamuzi sahihi, tumia website kama notebookcheck ama anandtech kupata deep reviews za soc mbalimbali.
Ungekuwa mkufunzi wanafunzi wangefaulu darasa zima,yaani hapa hata uwe na kichwa kizito unaelewa vizuri tu, huko juu hao jamaaa wengine wamedadavua kama wanawaelezea watu wa kada yao ( waliopitia IT). Sikuelewa kitu ,ubarikiwe CHIEF MKWAWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom