Siku hizi kuna hizi simu za mitumba wenyewewe wanakwambia used from Korea Dubai etc sometimes unaenda dukan unakuta IPO full boxed lakini ni refurbished
Sasa wajuzi tupeni mautalaam namna ya...
Kwanza kabisa naomba nitahadhalishe kuwa mimi sio expert wa hii kitu ila nahakika walau mtapata mawili au matatu lakini pia naamini wataalam zaidi watakuja kufafanua na pengine kujibu maswali.
Ni...
Habarini Ndugu wana jf, mimi nina solar watt 100 betri N70 dry cell ambazo nazitumia kwenye tv na kuwasha taa kama 5 tu tatizo linalofanya nijekuomba ushauri kwenu ni kwamba nyakati za usiku...
Hi! JF members
Naombeni msaada kwa wenye uelewa wa solar panel nzuri yenye uwezo wa kuwasha tv inchi 32
Naomba nisaidiwe brand nzuri na ni watt ngapi?
Betri N ngapi na hiyo tv inchi 32 pamoja...
Wandugu nawasalimu sana na poleni na pilika za hapa na pale. Nilinunua Inverter ya wati 3000 used ya Taiwan miaka miwili iliyopita na sasa ninahamia maeneo yasiyo na umeme wa grid hapa Dodoma...
Sijajua kama ni kwangu tu au ni vp, Nimezoea spidi ya 1MB kwa sekunde ila hapa kwa sasa jana na leo spidi ya kudownload imeshuka kwenda 60KB kwa sekunde, Nimezima updates.
Bando linalotumika ni...
Habarini?
Jamani nimepoteza charger ya Xiaome redme note ten pro(fast charger)
Kwa yeyote aliyenayo naomba anicheck, nahitaji Kwa haraka, maana charger za kawaida zinasumbua.
Habarini.
nawezaje ku connect web application na mysql database ili user anapo input taarifa zake mfano za registration ziende moja kwa moja mpaka kwenye database.
hapa tayari nimecreate web app...
Wakuu habari.
Naomba kufahamu ubora wa TV Hisense brand. TV yangu ya Samsung imeharibika sasa nimekutana na mtu ananiambia kuna hizi Hisense brand wana offer ya black friday sales, akanipa offer...
Wakuu Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Tanzania.
Twende kwenye mada wakuu nilikua naomba kujuzwa tofauti ya 2.4GHz WLAN na 5GHz WLAN na kazi zake kwa matumizi ya Wi-Fi maofisini na...
Kutoka kwa page ya Tech Advisor hizi ndio simu bora zaidi kwa mwaka 2022
1. iPhone 13 pro (iPhone bora zaidi) $999 at Amazon
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina...
Construction of the US$650 million Seacom undersea fibre-optic cable is well underway.
The cable will link the continent with the rest of the world to bring down connectivity costs.
A release...
Nina TV yangu kampuni ya PHILIPS imegoma kuwaka toka juzi inawaka taa nyekundu tu, nilijua kutotumia remote nikaenda kununua lakini wapi haiwaki. naombeni msaada Kwa anayejua fundi wa hizi TV, Sio...