Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

“Kariakoo sio soko. Ni vita ya akili. Wachache wanaotoka na faida ni wale wanaojua wapi pa kuchimba.” — Sehemu ya maneno niliyosikia kwa fundi mmoja nikiwa nimepotea Kariakoo mwaka 2019...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Kwenye tovuti ya Android authority, imetoa Ripoti kuhusu toleo jipya la Simu toka Google Inaitwa Google Pixel 10 Series' iliyotoka wiki kadhaa zilizopita lakini baadhi ya watu Mbalimbali...
3 Reactions
4 Replies
541 Views
Kuanzia 2026 simu za Android hazitaweza tena kuinstall apk ambazo developer wake hayupo verified na Play Store.
2 Reactions
4 Replies
464 Views
Mbeya University of Science and Technology (MUST) Hiki chuo mnakifahamu? Moja ya vyuo vyenye watu magenius hapa Tanzania ni pamoja na hiki chuo. Ubunifu unaofanyika kwenye hiki chuo unaweza sema...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari wana jf! Kama kichwa kinavyosema! Je nawezaje kuanza biashara ya web hosting?? Ni vitu gani nitahitaji? Na gharama ni shilingi ngapi?? Je ni options gani ntakua nazo? Nikihitaji kuwa na...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Uchambuzi wa kina kuhusu utofauti wa IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security. Post hii nimewandalia hususan wanafunzi waliomaliza sekondari wakitarajia...
48 Reactions
136 Replies
36K Views
MUHIMU: UZI HUU SIO WA KUKUMBUSHANA COMPUTER GAMES Binafsi nilianza kwenda Internet cafe 2002, computer zilikuwa zenye visogo 😂 . Mitanado maarufu kwa hapa bongo ilikuwa ni Marafiki.com na...
43 Reactions
169 Replies
14K Views
kuanzia 2003 nikiwa bado shule ya msingi niliweza kuujua ulimwengu wa internet kupitia internet cafe ya mjomba, ilikuwa biashara inayolipa vizuri enzi hizo, Enzi hizo kuunganishwa internet uwe na...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari wanafamilia wenzangu naomba msaada namna ya kuseti configuration ya wifi zinazopokea laini zote, nikiweka laini na kulog in inakubali ila inanipa ujumbe wa connected without internet lakini...
2 Reactions
8 Replies
718 Views
💭 Kwa muda wa miaka mingi toka mwaka 2022 tulikua tunasubiria juu ya toleo jipya la Simu ya Samsung inayojikunja mara tatu Hatimaye septemba to remember bhana!!! 💭 Ripoti inaonyesha kampuni ya...
2 Reactions
11 Replies
911 Views
Ijue Teknolojia ya Blockchain & Decentralized Internet Katika ulimwengu wa leo, karibu kila kitu cha kidijitali kinadhibitiwa na watu wa kati (central authorities), iwe ni mitandao ya kijamii...
1 Reactions
2 Replies
396 Views
Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu? Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo. Nimekutana na challenge ambayo katika software...
7 Reactions
68 Replies
2K Views
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT. ""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot"" 1. VIEW STATUS...
4 Reactions
4 Replies
512 Views
Hakika Dunia na maajabu yake kutana na jamaa mmoja toka YouTube aliweza kununua gari la buggati kwa Dola zaidi milioni $5,000,000 na kuletewa gari likiwa tupu bila Engine. Anaitwa Virginia ni...
0 Reactions
1 Replies
401 Views
Chapa ya kimataifa ya Simu Kali za kijanja TECNO wameingia ushirikiano na kampuni ya DXOMARK kuweza kutambulisha Teknolojia mpya kwa kuzindua maabara ya kwanza ya kupiga picha Kali za Automatiki...
0 Reactions
0 Replies
447 Views
Habari wadau wa Jamiiforums! Mimi ni mtaalamu wa usalama wa mtandao (cybersecurity) kutoka Tanzania, na leo nataka tuzungumze kuhusu tukio la hivi majuzi la udukuzi nchini Kenya ambalo linapaswa...
0 Reactions
5 Replies
646 Views
Laptop Yako Inakaribia Kufa – Huu Ndio Mwongozo wa Kuiokoa Mapema (Step-by-Step Maintenance Guide) Usisubiri motherboard ife ndipo uanze kuuliza maswali – soma, fanya, okoa. Watu wengi...
5 Reactions
4 Replies
611 Views
Nimekwama wadau,kama kichwa cha habari kinavyoeleza,lengo langu ni kuweka windows 11 version 23H2,nimefuata taratibu zote za jinsi ya kuinstall windows 11 kwenye laptop yangu ya Microsoft Surface...
1 Reactions
8 Replies
525 Views
Landing page ni sehemu ya kwanza mteja anakutana nayo — kama mlango wa duka lako. Ukiwa boring au usioeleweka, hataingia ndani. Hii hapa ni formula ya kuandika landing page kali, inayo-convert kwa...
0 Reactions
3 Replies
490 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…