Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wana jamvi la JF Tech, kama title inavoeleza. Simu angu kuna baadhi ya Apps hazifunguki inanipa maelezo kama yalivyo kwa TITTLE hapo juu. Naombeni msaada shida ni nini hapa!
1 Reactions
5 Replies
988 Views
Chombo cha kupeleka mizigo katika anga za juu cha China cha Tianzhou - 4 kimerejea angani. Vipande vingi vya chombo hicho viliteketea wakati wa mchakato huo, huku vipande vichache vikianguka...
0 Reactions
3 Replies
741 Views
Habari Wakuu! Ndugu yangu kanunua hii simu ila ukiweka simcard inasoma jina la mtandao ila bars za network zipo empty. Nimejaribu katika Network options kushusha kutoka 5G to 4G to 3G to 2G ila...
1 Reactions
2 Replies
713 Views
Amani na iwe kwetu wote. Nashukuru jukwaa la tech ndo huwa hawana bla bla nimesaidika sana. Sasa nina samsung s10 ina android 12. AT &T Tatizo lake sasa linaloninyima raha ni kutokuwepo button...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kujua frequency za BBC FM hapa Dar
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman naomba msaada, ukimtumia mtu ujumbe WhatsApp ikaonekana hii alama inakuwa na maaana gani au inaitwaje?
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakubwa mnajisikiaje na hali🤚🤚, ni hivi ulishawahi kufanya kazi sehemu kama programmer halafu ukakuta wasimamizi wako au pengine wadau wakawa hawajui vizuri kuhusu programming? mimi hiyo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Za asubuhi wakuu Naulizia kwa hapa bongo wapi nitapata battery ya simu tajwa Naipenda huwa kanatunza chaji Sana toka 2019 mwanzoni Hadi Sasa . Week ya pili Sasa nasikia harufu Kama ya lithium...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Habari za weekend wataalamu Nimenunua TV aina ya star X naomba kujua namna ya kuunganisha na simu yangu kwa wireless ili niweze kushare music na video. Kabla ya hii nilikuwa na TCL ilikuwa rahisi tu
0 Reactions
12 Replies
3K Views
  • Question Question
Wakuu mambo vipi, naomba maelezo mazuri ya kumuelewesha mtu kwa ujumla tu kuhusu event driven programming. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Heshima zenu wakuu,naomba App nzuri ambayo nitaweza kutuma SMS moja Kwa watu wengi ndugu zangu. Nawasilisha
0 Reactions
40 Replies
4K Views
STARTUP COMPANY, Kuna mkanganyiko mkubwa Sana wa maana ya Startup ni nini unakuta hata baadhi ya Founder wa STARTUP kibongobongo hawana uwelewa wa kitosha kwamba STARTUP ni nini na inasifa gani...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada wa kupakua au mwenye hicho kitabu! (Bungart Harmonium school) Nimejaribu ku download inahitaji nitie$$ Natanguliza shukrani!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu...! Niende kwenye mada moja kwa moja Sehemu nayoishi kuna tatizo la umeme kuwa hauna nguvu/umeme mdogo kiasi kwamba kuna baadhi ya vifaa vya umeme ukiwasha haviwaki au vinawaka...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mafundi tupo huku
0 Reactions
1 Replies
382 Views
FAHAMU KUHUSU ARTIFICIAL INTELLIGENCE ? Neno artificial intelligence tunaweza sema ni "Akili bandia" ule uwezo wa teknolojia kufanya mambo mbalimbali ambayo kwa kawaida uhitaji kutumia uwezo wa...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Msaada, mwenye ujuzi wa ku-unlock hizi modem za Wireless 4G (T*go), nikiweka line nyingine inadai unlock code. // Nitalipia huduma.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimejaribu kuunlock kwa kutumia codes za tools baadhi ikiwemo Universal Master Tool zimegoma. Unlock Attempts zimebaki saba. ama kuna mdau amewahi kufanikisha kuunlock hii route tushirikishane...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa kati ya window 7 na 10 ipi ni nzuri kwa ufundi simu upande wa software ninazo box na sio crack
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Kampuni ya Apple inc kupitia devices zake za iphone leo zimeweka rekodi duniani ambayo haijawahi kutokea. Zaidi ya devices 10 ml zimeuzwa leo huku ikiwa ni rekodi duniani. Iphone wanasema hiyo...
14 Reactions
158 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…