samrich234
Member
- Nov 7, 2022
- 42
- 20
Heshima zenu wakuu,naomba App nzuri ambayo nitaweza kutuma SMS moja Kwa watu wengi ndugu zangu.
Nawasilisha
Nawasilisha
Ni pm mkuuHeshima zenu wakuu,naomba App nzuri ambayo nitaweza kutuma SMS moja Kwa watu wengi ndugu zangu.
Nawasilisha
Yes kakaUnazungumzia normal sms/text???
Tyr mkuuNi pm mkuu
Wabongo kwa kuogopa challenge basi mnpenda sana kwenda chemba pm.Ni pm mkuu
KIla lakheri ukishindwa rudi tena ubaoni tukusaidie mawazoTyr mkuu
Nambie Tu Kaka ata wwKIla lakheri ukishindwa rudi tena ubaoni tukusaidie mawazo
Kaka nisaidieKIla lakheri ukishindwa rudi tena ubaoni tukusaidie mawazo
Kwa ufahamu wangu hata ile default application ya sms katika simu janja (mfano samsung) inakuruhusu ku add number za wapokeaji kadiri uwezavyo.Yes kaka
Yangu hainaKwa ufahamu wangu hata ile default application ya sms katika simu janja (mfano samsung) inakuruhusu ku add number za wapokeaji kadiri uwezavyo.
Yani una compose sms moja then u keep adding contacts ambazo unataka zipokee ujumbe huo.
Au unaweza create groups ambazo humo una add contacts kisha ukitaka kutuma sms una select tu group unalotaka ku share nao ujumbe.
View attachment 2415342
Nimedaka kituKwa ufahamu wangu hata ile default application ya sms katika simu janja (mfano samsung) inakuruhusu ku add number za wapokeaji kadiri uwezavyo.
Yani una compose sms moja then u keep adding contacts ambazo unataka zipokee ujumbe huo.
Au unaweza create groups ambazo humo una add contacts kisha ukitaka kutuma sms una select tu group unalotaka ku share nao ujumbe.
View attachment 2415342
Unaweza screenshot window ya ku compose sms tuone hapa?maana si kila mtu ana idea na hiyo simuYangu haina
Redmi note 9 pro
HiiUnaweza screenshot window ya ku compose sms tuone hapa?maana si kila mtu ana idea na hiyo simu
Namaanisha bofya/ click haponkwenye "start chat" kisha kitakachotokea ndio u screenshot ..pole kwa usumbufu ila naamini hiz feature zinafananaga sana karibia simu zote
Imekuja iviNamaanisha bofya/ click haponkwenye "start chat" kisha kitakachotokea ndio u screenshot ..pole kwa usumbufu ila naamini hiz feature zinafananaga sana karibia simu zote
Click hiyo vi dot dot hapo mbeleImekuja iviView attachment 2415354
Hii Amna kitu Kaka nishaaangalia sana ukoClick hiyo vi dot dot hapo mbele
Hamna kitu kvp?Hii Amna kitu Kaka nishaaangalia sana uko
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app