Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,293
- 2,620
FAHAMU KUHUSU ARTIFICIAL INTELLIGENCE ?
Neno artificial intelligence tunaweza sema ni "Akili bandia" ule uwezo wa teknolojia kufanya mambo mbalimbali ambayo kwa kawaida uhitaji kutumia uwezo wa akili kama wa binadamu kuweza kutambua vitu, watu, lugha , sauti , kufanya maamuzi, kujifunza, kutabiri, kutafsiri na nk.
Watu wengi wakisikia Artificial intelligence huwa wanafikiri inahusisha labda maroboti na teknolojia zenye nguvu zaidi kupindukia Ambazo mtu anafikiri kuwa hajawahi kutumia Kwenye Maisha yake.
AI Hipo Kwenye teknolojia kubwa pia ziko Kwenye teknolojia za kawaida kila siku Kwenye Maisha yetu.
Watu wengi duniani tunatumia mifumo hii ya artificial intelligence Kwenye Maisha yetu kila siku nazani [emoji3]umeshtuka kidogo sio relax , najua unatumia google , Instagram , Twitter , facebooks , bolt , kamera za simu , online payment, YouTube, Gmail nk
Mifano [emoji116][emoji880]
• 𝗬𝗼𝘂𝗧𝘂𝗯𝗲[emoji271]
Unapotizama au unapotafuta kitu huwa YouTube wanapendekeza kuangalia video nyingine zinatokea hivyo utaona wanakuletea video inayoendana na kitu ulichokitafuta apa AI inafanya kazi ya kukusaidia kutambua na kukusogezea video zinahusiana na unachokitafuta.
• 𝗸𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮 𝘇𝗲𝘁𝘂 𝘇𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 [emoji991]
Ukifungua kamera Kwenye simu Yako ukitaka kujipiga picha utaona kuna wakati Kuna msaada unakuja wa kuchagua effect ambayo inaenda na mazingira unayotaka kupiga picha au unapotaka kujipiga selfie utaona kitu kinatokea kuzunguka USO wako apa AI inatambua uwepo wa USO wako Kwenye kamera.
•𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝘀𝗲𝗮𝗿𝗰𝗵 [emoji361]
Unapotafuta kitu Kwenye Google mifumo ya Artificial Intelligence inakusaidia kuweza kukuletea majibu ya kile unachokitafuta ivyo google Utumia teknolojia ya Artificial Intelligence.
AI inatumika pia Kwenye masuala ya mawasiliano ,viwandani , Huduma za afya ,usalama , biashara , kilimo na nk.
Ebu tuachie maoni Yako ukisikia Artificial Intelligence ulikua unawaza kitu gani [emoji3] tuambie tujue ?
Teknolojia ni yetu sote [emoji110]
Neno artificial intelligence tunaweza sema ni "Akili bandia" ule uwezo wa teknolojia kufanya mambo mbalimbali ambayo kwa kawaida uhitaji kutumia uwezo wa akili kama wa binadamu kuweza kutambua vitu, watu, lugha , sauti , kufanya maamuzi, kujifunza, kutabiri, kutafsiri na nk.
Watu wengi wakisikia Artificial intelligence huwa wanafikiri inahusisha labda maroboti na teknolojia zenye nguvu zaidi kupindukia Ambazo mtu anafikiri kuwa hajawahi kutumia Kwenye Maisha yake.
AI Hipo Kwenye teknolojia kubwa pia ziko Kwenye teknolojia za kawaida kila siku Kwenye Maisha yetu.
Watu wengi duniani tunatumia mifumo hii ya artificial intelligence Kwenye Maisha yetu kila siku nazani [emoji3]umeshtuka kidogo sio relax , najua unatumia google , Instagram , Twitter , facebooks , bolt , kamera za simu , online payment, YouTube, Gmail nk
Mifano [emoji116][emoji880]
• 𝗬𝗼𝘂𝗧𝘂𝗯𝗲[emoji271]
Unapotizama au unapotafuta kitu huwa YouTube wanapendekeza kuangalia video nyingine zinatokea hivyo utaona wanakuletea video inayoendana na kitu ulichokitafuta apa AI inafanya kazi ya kukusaidia kutambua na kukusogezea video zinahusiana na unachokitafuta.
• 𝗸𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮 𝘇𝗲𝘁𝘂 𝘇𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 [emoji991]
Ukifungua kamera Kwenye simu Yako ukitaka kujipiga picha utaona kuna wakati Kuna msaada unakuja wa kuchagua effect ambayo inaenda na mazingira unayotaka kupiga picha au unapotaka kujipiga selfie utaona kitu kinatokea kuzunguka USO wako apa AI inatambua uwepo wa USO wako Kwenye kamera.
•𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝘀𝗲𝗮𝗿𝗰𝗵 [emoji361]
Unapotafuta kitu Kwenye Google mifumo ya Artificial Intelligence inakusaidia kuweza kukuletea majibu ya kile unachokitafuta ivyo google Utumia teknolojia ya Artificial Intelligence.
AI inatumika pia Kwenye masuala ya mawasiliano ,viwandani , Huduma za afya ,usalama , biashara , kilimo na nk.
Ebu tuachie maoni Yako ukisikia Artificial Intelligence ulikua unawaza kitu gani [emoji3] tuambie tujue ?
Teknolojia ni yetu sote [emoji110]