Wadau habari zenu
naomba kama kuna mtu amewahi kutumia mtandao wa torrentz.com
anisaidie procedures za kufuata ili niweze kudownload music au hata movies coz
nimejaribu mara kibao nimeshidwa.
Wadau nisaidieni kuna jamaa yangu anadai mobile yake imekufa imeshambuliwa na virus
naogopa mobile yangu isije shambuliwa maana toka jf waweke mobile edition muda mwingi natumia mobile niwapo nje...
Umewai kujua ni kwa nini baadhi ya keyboard alama kam "@" haiko sehemu uliyozoea. Au alama hiyo ya @ ukiibofya inatokea alama nyingine mfano "
Tatizo hili linatokana na KEYBOARD lay out...
Tafadharini sana,
Nilimtumia mtu pesa mwezi wa July (CRDB),nikamtaarifu akasema sawa ila inaonekana (labda hakwenda kuangalia benk).
Leo ananitafuta anasema SIKUWEKA hela!!!!!!!!!
tatizo langu ni...
hello there are several ways search engines can benefit from users. recently I heard that google is the leading search engine in the world and it raises millions of shillings daily. I am anxious...
Msaada jamani,
Natafuta soft copy ya kitabu kinachoitwa " The new Money Masters" author wake ni John Train
Mwenye kuweza kuniwekea link nitashukuru sana!
Habari zenu jamani.
hapa nyumbani ninatumia desktop imeandikwa IBM THINK CENTER
sasa tatizo ya hii desktop inaunguruma sana mpaka inafika mda hata watu waliolala usiku nawasumbua sasa sijui...
thESE PHONE corporation macho men zinatunyonya damu zetu,waste our time and money,In vodacom internet i did some research nikagundua when ukiweka bomba30 speed inakuwa chini bt ukiweka normal...
Skimming devices placed over card-reader slots capture your information.
The next time you pull up to an ATM, take a closer look at the machine. Does it look a little clunkier than usual?
Look...
Nimesikia kuwa Tanzania ilijiwekea mkakati ku kumaliza utaratibu wakumaliza kuhamsha urushaji wa matangazo kutoka analog kwenda digital ifikapo 2012 badala ya 2015.TBC ni mojawapo ya makampuni...
Natowa kwanza heshima kwa ndugu zangu wote wahusika nawaombeni msaada wenu munisaidie au kama kuna mtu mwengine ana matatizo kama haya aweze pia kunsaidia
kawezaje kuyatatuwa. nimejaribu kuiweke...
Naomba msaada wanajamii wa kuondoa window alert, nina pc yangu niliistal Window XP sasa imeleta alert ambayo inasema '' YOU MAY BE A VICTIM OF SOFTWARE COUNTERFEITING, This copy of Windows did not...
IT'S A LONG TIME NOW NINAJARIBU KUKONECT NA INTERNET YA ZAIN KWENYE SIMU YANGU NASHIDWA IMEJARIU KUTUMA NENO internet KWENDA232 IMEKATAA YANI SIPATI REPLY YOYOTE HOW CAN I DO NIWEZE KUKONECT...
Tanzania: Internet Cafes Owners Face Technology Challenges
Abduel Elinaza
19 September 2010
Dar es Salaam INTERNET cafes owners are facing technology challenges which...
Mathematics is very Important subject in the world of science.. It plays a great role all over the field of science.. A good example for this is the use of mathematics in computers.. The...
Nways, sijui kama hii thread ipo mahali pake..
Nways, ishu ni hiviii, hawa jamaa wa scribd.com baada ya kuwa tumechangia documents zetu kwa muda sasa na kushare na wengine, sasa hivi naona...
MacBook Pro ya May 2010 inauzwa. Bei ni USD 1,800 (ikiwa dukani ni USD 2,200). Specs zake ni kama ifuatavyo:-
Monitor: 15-inch
Processor: Intel Core i7 2.66GHz
Memory: 4GB
Hard drive ...
by Charlotte Raab
Sat Oct 9, 2010
NEW YORK (AFP) – Microsoft unveils a new mobile phone operating system on Monday in what is being seen as a potentially make-or-break effort by the US...
Wakubwa
Mtoto wangu amechafua Secreen ya laptop yangu kwa kutumia Marck pen ya rangi ya kijani
Nimefuta kwa kitambaa lakini naona hayatoki
nisafishe na nini? Nsaidie
DELL LATITUDE D610,
WINDOW XP SP3,
MICROSOFT OFFICE 2010
INTEL CENTRINO,
PROCESSOR 1.6GHZ,
RAM 1GB,HARD DISC 40GB,DVDRW
Bei laki nne na themanini elfu, ukichukua nyingi utapunguziwa
sim -0768178989