Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari za jioni simu yangu ni N79 origin nashindwa inashindwa kusoma pdf nyingi yaani haziplay naomba msaada wenu wataalamu.Ikiwezekana nitumiwe kwenye email yangu ( dseverin47@gmail.com) naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kuna sehemu mdau kapot hii kitu najua kule hawataiona wengi read this Mobile and Web Technologies for social and Economic Development
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kuna modem Huawei mobile broadband HSPA+ USB slider model:E1820.sasa wanasema hii modem inakubali chip ya airtel and Vodacom.So nimejaribu kutumia Vodacom.after installation ina autorun page...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello wana JF! Niliigawa Hard Disk yangu katika sehemu 4: Local Disk C, E, F na G ambapo G ni kwa ajili ya Back Up. Tatizo ni kwamba G imejaa na ninapojaribu hata kufuta baadhi ya mafaili...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Nimenunua simu ya kichina. Imelokiwa kutumia SIM card ya tiGO tu. nataka iwe inapokea laini zote. Inaitwa MI au Mi-Q+ Imetengenezwa na Mi-Fone company IMEI: 357213030445512. TAFADHALI...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
natafuta diplosat model namba DDSR5512 FTA,mwenye kujua pa kuipata anijulishe nimetafuta maduka yote mwanza nimekosa,na mimi niko bukoba mwenye kujua anijuze ili niweze kuipata nitashukuru
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KWA YEYOTE ANAEHITAJI SOFTWARE MBALIMBALI NA KWA BEI POA PLSE TUWASILIANE,NA SOFTWARE ZIPO ZA KILA AINA MFANO: 1.PAYROLL/SALARY PROCESSING/EMPLOYEE MANAGEMENT. 2.FINANCE ACCOUNTING SYSTEM...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamii hebu nisaidien nimewasha computer inakuwa standby nimezima nimewasha inawaka taa ya standby je inatatzo gan?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani ukweli ni kwamba kupitia jukwaa hili mambo mengi yanajibiwa kitaalam tatizo langu ni hili nina modem ya voda hiyo niliyoitaja hapo juu nilikuwa nikijalibu kui-unlock kwa kutumia dc-unlocker...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
hey wazeeya,wakubwa nimekua nikijaribu kufungua payapal kwa crdb visa bila mafanikio...card nimeiunganisha na internet banking ila kila nikijaribu ku confirm napata We were unable to verify this...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ule mpango wa uchakachuaji ulokuwa umekithili katika watumiaji wa moderm za zantel sasa umefikia kikomo, jamaa wamesha gundua na wame block zile prox number za bure, i mean ths proxy user =...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
KUNA VITU VINGINE UKIPEWA STATISTIC NI AIBU MNO KWA TAIFA YAANI SISI WATANZANIA KWA IDADI YA WATU WENYE ACCESS NA INTERNET NI WA MWISHO MNO AFRICA NA AFRICA MASHARIKI....TUMEWAZIDI BURUNDI TU...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
For fun ,najaribu kutengeneza website kutumia html. Nataka iwe na page say 5! Code muhimu za html nimesoma online na baadhi za CSS. Licha ya kusoma about a href code,sijajua vipi his webpages...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu naomba msaada wa namna ya kuchakachua moderm ya zain process ya kwanza hadi ya mwisho.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba nisaidiwe jamani maana naona kama imekuwa too much ninatumia vodacom modem sasa last week nilijiunga na bundle ya 500MB lakini baada ya siku moja mkwanja ukawa umekwisha kitu ambacho si cha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada wa hii kitu "downloader". Mimi nina winrar hivyo nikidownload vitu navikuta huko kisha extract kwa matumizi,tatizo ni uslow na sometimes hata ikifika 95% ikikata unaanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
“France’s national train service (SNCF) is offering 1,000 USB TRAIN TICKETS in a trial. The tickets also contain a unique-ID RFID chip that provides wireless “easy pass” access to trains. By...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Nawaombeni wa JF wenzangu mnisaidie kuonesha duka ambalo naweza kununua electronic au digitall thermostat nina shida nayo sana!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
63Share Email Research in Motion’s roadmap for its CDMA-based BlackBerry smartphones were leaked to CrackBerry, which shows a similar progression towards touch-based UIs, higher resolution...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cellphone use affects brain activity after 50 minutes Special By Kathleen Blanchard. + New research shows cellphones excite the brain by stimulating glucose that can affect...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…