Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,608
- 10,654
Wadau naombeni msaada wa hii kitu "downloader".
Mimi nina winrar hivyo nikidownload vitu navikuta huko kisha extract kwa matumizi,tatizo ni uslow na sometimes hata ikifika 95% ikikata unaanza moja.
lakini nimekuwa nasikia sana downloader zinafanya kazi kwa uharaka zaidi, baada ya kugoogle nimeshindwa kutofautisha IDM, uttorent, bittorent nk.
Hebu nijuzeni kama nataka kwa shughuli ya kudownload music, software, game ipi intanifaa, nikipata na link yake niweze kuipakuwa itakuwa powa zaidi.
U're help will be highly appreciated.
Mimi nina winrar hivyo nikidownload vitu navikuta huko kisha extract kwa matumizi,tatizo ni uslow na sometimes hata ikifika 95% ikikata unaanza moja.
lakini nimekuwa nasikia sana downloader zinafanya kazi kwa uharaka zaidi, baada ya kugoogle nimeshindwa kutofautisha IDM, uttorent, bittorent nk.
Hebu nijuzeni kama nataka kwa shughuli ya kudownload music, software, game ipi intanifaa, nikipata na link yake niweze kuipakuwa itakuwa powa zaidi.
U're help will be highly appreciated.