Vodacom sucks

Easymutant

R I P
Jun 3, 2010
2,564
1,129
Naomba nisaidiwe jamani maana naona kama imekuwa too much ninatumia vodacom modem sasa last week nilijiunga na bundle ya 500MB lakini baada ya siku moja mkwanja ukawa umekwisha kitu ambacho si cha kawaida maana siku zote huwa natumia na siwezi kuimaliza kwa mwezi .. the funny thing is nilipojiunga kwenye hii bundle ya 500MB na ikaisha bila mie kutegemea imekwisha namna gani nikaenda vodashop wakanambia ni kwa sababu sikuconferm text yao ya kusema kuwa nimeshakuwa na ruksa ya ku2mia hiyo 500mb, nikaona isiwe taabu nikawalipa 20000 nikawaambia waniwekee kabisa cha ajabu leo hii 500MB imeshaisha na ni siku mbili tu nimewalipa sasa nifanyeje jamani maana sijadownload ki2 hata chenye ukubwa wa 10MB sasa siajajua nifanyeje kabisaaaa..
naomberni ni njia gani niitumie kuclaim salio langu wajamani?
 
mzee b4 malalamiko.u need to check kwenye pc yako.hw many mb have you download just 2 b sure.
 
inawezekana kuna software ambayo iko kwenye pc yako ina update automatical, hebu angalia ant virus yako au kama umeweka i tunes na nyenginezo.....
 
elfu 20 500MB? Ungeongezea elf 10 ungejiunga na unlimited...wait kuna ya airtel 2500 unapewa 400MB!LOL
 
Kaka jaribu kuangalia cpr yako kuna vitu vinaji uptodate vyenyewe bila ya wewe kujua...karibu kwnye airtel kama vp.
 
Duh! 20,000/= 500mb?, mbona mkuu maumivu hayo hayana sababu! Speed ya Voada ipochini kuliko Airtel. Mbona unajiumiza mkuu.
 
voda huwa wanakuonjesha ulivyotumia mtiririko mzima wa ulichotumia ebu jaribu kufanya ivyo alafu kingine ichakachue tumia airtel ucwe na ndoa ya mke mmoja
 
Inategemea na speed ambayo una2mia, obviously kama una2mia HSDPA/HSUPA inamaana per evry minute u surf on website probably utakua una2mia 3MBPS or less than that but still utakua una2mia a plenty of bundle. Pia angalia automatic updater yako kama iko ON kwa sababu other times huwa Automatic updater ndiyo inamaliza data kama ipo on.
 
Wadau
Voda wanauwe 20000 for 500MB while is Zantel ingawa wameongeza bei ukijiunga na highlife 15000 per 2GB per week where by km matumizi ni madogo huwezi maliza. N is so faster.
 
Naomba nisaidiwe jamani maana naona kama imekuwa too much ninatumia vodacom modem sasa last week nilijiunga na bundle ya 500MB lakini baada ya siku moja mkwanja ukawa umekwisha kitu ambacho si cha kawaida maana siku zote huwa natumia na siwezi kuimaliza kwa mwezi .. the funny thing is nilipojiunga kwenye hii bundle ya 500MB na ikaisha bila mie kutegemea imekwisha namna gani nikaenda vodashop wakanambia ni kwa sababu sikuconferm text yao ya kusema kuwa nimeshakuwa na ruksa ya ku2mia hiyo 500mb, nikaona isiwe taabu nikawalipa 20000 nikawaambia waniwekee kabisa cha ajabu leo hii 500MB imeshaisha na ni siku mbili tu nimewalipa sasa nifanyeje jamani maana sijadownload ki2 hata chenye ukubwa wa 10MB sasa siajajua nifanyeje kabisaaaa..
naomberni ni njia gani niitumie kuclaim salio langu wajamani?

Soma kwenye hii link Kuna ushauri mzuri umetolewa.
https://www.jamiiforums.com/technol...e-kuzuia-auto-download-ambazo-sizihitaji.html
 
Mtaalamu wakati wa ukombozi ni sasa, achana na voda komaa na Airtel wanatisha speed ya kufa mtu, mimi muda mwingine naachaga modem on halafu naenda kuoga lakini nikiangalia bundle iliyobakia nabaki nacheka tu imetumika kidogoo, voda na zantel nilishaachana nao, ogopa sana watu wanaosema vigezo vitazingatiwa halafu vigezo vyenyewe havijulikana au haviko wazi, wakitafuna mb zako ndio wanakuja na hoja ya vigezo, kama hapo mkuu wamekupiga chakachua kwamba ulianza kutumia bila confirmation ndiyo vigezo hivyo sasa hujui vipo vingapi, no noma nakushauri jiunge na Airtel.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom