Naomba msaada wakuchakachua simu ya kichina

Mawenzi

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,251
344
Nimenunua simu ya kichina. Imelokiwa kutumia SIM card ya tiGO tu. nataka iwe inapokea laini zote.

Inaitwa MI au Mi-Q+
Imetengenezwa na Mi-Fone company
IMEI: 357213030445512.

TAFADHALI NISAIDIENI Wakuu
 
Chukua sabuni ya omo kiganja kimoja,
Changanya na ndimu alafu na maji lita 2,
Weka simu yako ukiwa haina betri
iache kwa muda wa masaa 24.
then itoe na iache ikauke.
Alafu iweke laini yoyote
 
Chukua sabuni ya omo kiganja kimoja,
Changanya na ndimu alafu na maji lita 2,
Weka simu yako ukiwa haina betri
iache kwa muda wa masaa 24.
then itoe na iache ikauke.
Alafu iweke laini yoyote

Are you serious Miss X??
 
Chukua sabuni ya omo kiganja kimoja,
Changanya na ndimu alafu na maji lita 2,
Weka simu yako ukiwa haina betri
iache kwa muda wa masaa 24.
then itoe na iache ikauke.
Alafu iweke laini yoyote

Mkuu jukwaa la jokes si lipo? nachelea kusema kama hujui kwanini uchangie au unaongeza idadi ya post zako tu
 
Chukua sabuni ya omo kiganja kimoja,
Changanya na ndimu alafu na maji lita 2,
Weka simu yako ukiwa haina betri
iache kwa muda wa masaa 24.
then itoe na iache ikauke.
Alafu iweke laini yoyote

Miss X you have made my weekend! Bwa ha aha ha aha!
 
Chukua sabuni ya omo kiganja kimoja,
Changanya na ndimu alafu na maji lita 2,
Weka simu yako ukiwa haina betri
iache kwa muda wa masaa 24.
then itoe na iache ikauke.
Alafu iweke laini yoyote
duh!
 
Chukua sabuni ya omo kiganja kimoja,
Changanya na ndimu alafu na maji lita 2,
Weka simu yako ukiwa haina betri
iache kwa muda wa masaa 24.
then itoe na iache ikauke.
Alafu iweke laini yoyote

hili ni jukwa la wataalamu, kama wewe hujui kitu kama mimi basi unatakiwa ukae kimya uwe mtazamji tu.
 
mkuu muanzisha mada ameona jukwaa hili litamsaidia kwa shida yake kama itawezekana lakini anatokea mtu anajibu utumbo na wengine wanamsapoti nafikiri kisa ni miss.
Hili ni jukwaa la kitaalamu kama hujui solution yake kaa kimya.
Watu walio zoea jukwaa la upenuni utawajua tu post zao wakija majukwaa mengine

mkuu vp! Mbona umeninukuu mimi!, kuna Kitu mbaya nimeongea?. Hebu zipitie tena comment zangu.
 
mkuu vp! Mbona umeninukuu mimi!, kuna Kitu mbaya nimeongea?. Hebu zipitie tena comment zangu.
hapana mkuu tupo pamoja, nimekunukuu kuongeza msisitizo kwa ulicho komenti ni sahihi, kama kuna mtu anapenda utani na kucheka basi jukwaa lake lipo aende huko, thats all mkuu
 
Nimenunua simu ya kichina. Imelokiwa kutumia SIM card ya tiGO tu. nataka iwe inapokea laini zote.

Inaitwa MI au Mi-Q+
Imetengenezwa na Mi-Fone company
IMEI: 357213030445512.

TAFADHALI NISAIDIENI Wakuu

mkuu hizo sio zakichina ni cm org kabisa zimetolewa na tigo na zipo aina 2 nikama zinazotolewa na voda, zantel nk ni special je yako ni zile kubwa kama blackberry au ni hile ndogo ila zote zinatoka lock nijb aina yake
 
Chukua sabuni ya omo kiganja kimoja,
Changanya na ndimu alafu na maji lita 2,
Weka simu yako ukiwa haina betri
iache kwa muda wa masaa 24.
then itoe na iache ikauke.
Alafu iweke laini yoyote

miss u make my day angalau leo kicheko kimenifata sebuleni jamani ata ss tunaitaji kucheka na mda wakufungua jukwaa la jokes atuna tunafungua hapa tu mda mwingi so ucjali nimecheka na mwisho wa siku solution yako ikikataa yakwangu itafanya kazi 100% so akuna haja ya watu kunununa na kukushutumu tunaitaji kucheka pia.
 
Back
Top Bottom