Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naomba kwa yeyote anayejua anisaidie jinsi ya kufichua mafaili yaliyo fichwa katika flash, nina flash yangu ambayo baadhi ya mafaili hasa ya miziki hayaonekani kwenye computer lakini huonekana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Parts of these pages on USB Networking are a cooperation with Parallel Technologies, the creator/ inventor/ developer of the DirectParallel® technology licensed to Microsoft for the Direct Cable...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sam Exclusive utajua ni mtiririko wa post zinazohusu teknolojia hapa bongo. Leo ni IBM IBM's Corporate Services Corps team in Tanzania visited a local school in Arusha. The school opened in 1934...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Habar zenyu wanathnker hv nini kinachosababisha mashne kuchagua software(window) mfano ulikuwa unaingiza window xp service packes 2 na iliyokuwepo ilikuwa hiyo hyo ila ki kama umebadili cd au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada please, Nina laptop Dell inspiron 1720, kuna wakati computer ina kuwa kama ime crash na message hii inatokea "hardware malfunction, call ur hardware vendor for support, then chini...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Nina router ya sasatel ambayo naitumia ku connect computer kadhaa kwa wireless na utp, sasa nimeamua kubadili operator nikanunua ya airtel, but nimegundua kwamba ile router ya...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Picture this scenario, Natumia modem ya kasi ya Airtel (3.6 Mbps) nyumbani (ambayo nimei share nyumba nzima kwa kutumia Internet Connection Sharing) kuperuzi hapa na pale, mtoto wangu wa kiume...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu wa tech naomba mnisaidie sehemu za kupata software za mac hapa Dar.
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Hivi Jamani Inakuwa vipi hiki chuo kinatoa Advance Diploma ya Miaka miwili wakati Advance Diploma ni Miaka Mitatu? tunapata usumbufu sana kupata kazi serikaini
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Getting the “Your System is Low on Virtual Memory” error is very frustrating. Fortunately, it will not destroy the computer. It merely indicates that the computer no longer has any memory to...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wazee zile chanel nilizokuwa nazipata kwa kuingiza namba 698 zimefungwa tena. uchakachuaji uko vipi hapo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hey avatar yangu ipo .gif lakini kila niki-upload naona haishake ati...nimejaribu sana nimeshindwa,nimejaribu kusoma rules nimetoka KO...hembu nielimisheni hapa. OS yangu ni Linux UE 2.8(nadhani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
We get letters Mar 9th 2011, 15:52 by G.F. | SEATTLE A LETTER was delivered to Mrs Babbage recently from Tanzania. She was surprised, as she did not recall having correspondents there. But...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni Modem ya Zain/Airtel; Model E 1550; Maker: Huawei Mobile; IMEI: 358811039204886; Made In China. kama unaweza ukanisaidia thru post ama thru PM yote ni sawa.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau mambo vp? Naomba kuuliza eti kuna uwezekano wa mtu kuzuia kama hautaki mtu akupate kwenye hewani lakini wewe unakuwa hewani fresh na watu wengine wanakupata kama kawaida? Kuna kitu kama hcho?
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Juzi tu nilipata ajali, ila nikapona. Lakini gari select saloon imeumia vibaya sana. Nataka kuitengeneza lakini rangi zinasumbua ni "dark foamred" zilizopo zinapauka, nisaidieni technolojia ya...
0 Reactions
3 Replies
45K Views
Ni Modem ya Zain/Airtel; Model E 1550; Maker: Huawei Mobile; IMEI: 358811039204886; Made In China. kama unaweza ukanisaidia thru post ama thru PM yote ni sawa.
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Ni Modem ya Zain/Airtel; Model E 1550; Maker: Huawei Mobile; IMEI: 358811039204886; Made In China. kama unaweza ukanisaidia thru post ama thru PM yote ni sawa.
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Jinsi ya ku unlock modem hiii wadauuuu !!!!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kichwa cha habari chajitosheleza. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…